Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwenye international schools wale wanasoma content kidogo alafu na exposure ni kubwa to the world plus confidence

Ila ukiweka hawa watoto wetu english na WA international school wakwetu kwenye content wapo vzr saana.

Sijui tunakwama wapiiii.
Swali ni je....hizo content wanazielewa???

Shule za international wanachofanya ni kuwapa watoto muda waku-digest information. Huku kwingine nikuwalimbikizia tu watoto a lot of unnecessary stuff. Muda wao wa utoto (ambao wanatakiwa kufurahia utoto wao) tunawa-exhaust sawa sawa na tunavyochoshwa na maisha ya ukubwani.

Utoto mgumu, ukubwa mgumu, lini watapumua???
 
Hili ni suala mtambuka
Lina hitaji mjadala mrefu sana na uthubutu wa hali ya juu

We have a long way.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…