Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,488
- 65,836
Embu kula
ushibe kwazaasiye na kosa hajiteteagi 😂
ushibe kwazaasiye na kosa hajiteteagi 😂
mwanaume mzima unashiba kachumbari!! 😂Embu kula
ushibe kwaza
Ajeeee tukazurure
twende gran melia 😂Ajeeee tukazurure View attachment 2614416
Akipata boom kasema atanitoa out, usije kumfanya abadili mawazo tasavaliKumbe uko Chuo saivi? Hongera sana
Ukipata boom la field mwezi Ujao, nunua debe zako mbili au 3 za Mchele wa Kamsamba, unanukia kishenzy. Ukipata na Maharage mapya ya Mbeya itafaa zaidi.
Wakati wenzio wanalalia Chai na Mkate wewe unabaki kuwacheki tu 🤗
Pizza elf 25 haiwezi tushinda 😂😂twende gran melia 😂
Nitumie nauli totoo nije kesho
Ahahahaah unataka nishie konokono mimi sio mchina bhnamwanaume mzima unashiba kachumbari!! 😂
acha utani basi gran melia pizza 25k?? 😂Pizza elf 25 haiwezi tushinda 😂😂
Twende
nivumilie kwanza napita mapito😂Nitumie nauli totoo nije kesho
sijui leo usiku na mimi nile tambi 😂 au unasemaje....Ahahahaah unataka nishie konokono mimi sio mchina bhna
Wuuuuuu futa no zangunivumilie kwanza napita mapito😂
nazifutaje wakati ziko moyoni 😂Wuuuuuu futa no zangu
Walikudanganya milioni ngapi??acha utani basi gran melia pizza 25k?? 😂
Tafuta hela kwanza totoonazifutaje wakati ziko moyoni 😂
sijui ila naona kama haiingii akilini 😂Walikudanganya milioni ngapi??
pole sana.sijui ila naona kama haiingii akilini 😂
Kula tambi kaanga na chips kidogosijui leo usiku na mimi nile tambi 😂 au unasemaje....
kuna siku nilienda pale, tulikua tunashangaa tu jobless boys 😂nikaona wazungu wanaambia vegeterian buffet ni 400$. ndo maana pale napaogopa....pole sana.
Siku moja moja jitoe..
Usiwe unadanganywa kirahisi.
Ewaaaa😂 vilainishi.....Kula tambi kaanga na chips kidogo