Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
ThibitishaMuongo
ThibitishaMuongo
Discount 91% nichukue hiyo ofaNikupikie tena???![]()
Nikajua unataka kujifunza![]()

Nikiselfika utanipa vocha?Mwambie aselfike








cio poa aisee nipunguzie jero tu utadumu kwenye mahusiano mpka mwisho wa dunia hamuachaniNdiyoooNikiselfika utanipa vocha?
Washa WiFi sasa 😂😂cio poa aisee nipunguzie jero tu utadumu kwenye mahusiano mpka mwisho wa dunia hamuachani
Mema ya nchi au anywe bia?😅Atulie ale mema ya nchi
Biashara si itakufa niuze mpaka vyombo.....?🙄🙄Discount 91% nichukue hiyo ofa![]()
Nipo peke yangu JF nzima hakuna kama mimi😊Hamna kijana mwema kama huyo, mshikilie vema 🤗
Ukweli shem darling😆Muongo
Kwani we ni Mzazibar???😳Nipo peke yangu JF nzima hakuna kama mimi😊
Hiyo aina ya simu ukiweka bando la mia 5 si sekunde 20 limeisha
Ebu weka citation ya huo utafiti!Ungefanyia utafiti humu jf ungegundua kijana mwema ni mimi tu.Kwani we ni Mzazibar???😳
Maana utafiti umedhihirisha hawana ubabaishaji.🤓
Siju kma natwaiUkiwahi nitunzie basi na mimi
Kijana Johnnie Walker una hela?😂 Lenie afro ndogo kipaji. Hizi zilikuwa fupi basi pple around me wakawa wanahoji kimenipata nn View attachment 2612342
Kumbe wewe ni kazuri😂 Lenie afro ndogo kipaji. Hizi zilikuwa fupi basi pple around me wakawa wanahoji kimenipata nn View attachment 2612342