raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,505
- 35,687
Uwezo huo sina ngojea nimpe likes tu tena nyingi nyingi kabla nazo hatujaanza kulipia hapa 😄Mpe Jeep niwe chawa wako au wasemaje Dr Lizzy
Uwezo huo sina ngojea nimpe likes tu tena nyingi nyingi kabla nazo hatujaanza kulipia hapa 😄Mpe Jeep niwe chawa wako au wasemaje Dr Lizzy
Haha, sio mtu ni kampuni, i meant Multi ChoiceEmbu mrefushe huyo MC kwanza.![]()
Hahaha Wige . Upendo kwanza jamani , ukipenda unaanzaje hata .Kwako
Sina wasiwasi
Ila usithubutu kuniita Kaka
Inaenda bhana , wapo wanaotoa bila kuhitaji kitu in return .kumbuka hela ya mwanamume haiendagi bure
Si ndio, maana mki hit and run baadaye wakifikisha miaka 30+ hawajaolewa, mnaanza kuwatukana na kusema kuwa wametumika sanaKwa hiyo mnafanya hivyo kuwakomoa wadau wa hit and run?![]()
Shemeki huyooeeeh eeeh eeh.

Nipo shemejiShemeki huyoo![]()
Mbususu inakuwa safe sioInaenda bhana , wapo wanaotoa bila kuhitaji kitu in return .
DuhSi ndio, maana mki hit and run baadaye wakifikisha miaka 30+ hawajaolewa, mnaanza kuwatukana na kusema kuwa wametumika sana
Mara sijui naniliu zina mileage kubwa hivyo hawafai kuolewa kwahiyo nao wanatafuta cha kupoozea machungu ya hayo matusi yenu
Kusudi hata huko mbeleni mkija kuwatukana angalau kuna kitu waliambulia ninyi mmewapotezea muda na wao wamewapotezea pesa

Mim pia shemejiNafurahi kukutia
Hapa tena
Machoni
Ewaah inakuwa salama kabisaMbususu inakuwa safe sio
Exposé naiona hii hapa!🫣😁Haha, sio mtu ni kampuni, i meant Multi Choice
Haha basi ngoja niishie hapaExposé naiona hii hapa!🫣![]()
Nabadilisha ID 🤓Haha basi ngoja niishie hapa
Hahaha kwani kuna ubaya mimi kukufahamu jamani, mbona nakufahamu muda mrefu tu ila sijawahi sema lolote, halafu ujue nilidhani Watu wengi tu wanakufahamu nje ya hapaNabadilisha ID![]()


Tit for tat...lakini hapo anayeumia zaidi ni mwanamkeSi ndio, maana mki hit and run baadaye wakifikisha miaka 30+ hawajaolewa, mnaanza kuwatukana na kusema kuwa wametumika sana
Mara sijui naniliu zina mileage kubwa hivyo hawafai kuolewa kwahiyo nao wanatafuta cha kupoozea machungu ya hayo matusi yenu
Kusudi hata huko mbeleni mkija kuwatukana angalau kuna kitu waliambulia ninyi mmewapotezea muda na wao wamewapotezea pesa
Daaah! Bwanaee hao watakuwa na matatizo ya nguvu za kiume si bureInaenda bhana , wapo wanaotoa bila kuhitaji kitu in return .
Na ww pia aunt 😇🤗🤗😘Usiku mwema wapendwa!
Mrare unono 😴😴😴!