Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Dah
Karoho Kabaya haka....
Usijali mama Ile Azam confederation cup ni yetu.
Weka kumbukumbu hii




Dah
Karoho Kabaya haka....
Usijali mama Ile Azam confederation cup ni yetu.
Weka kumbukumbu hii




Hela yenyewe anaomba hee si nitalishwa chips kavu mie ziniikabe bureJiandae kesho mida ya lunch
😂😂😂😂 embu tulia tuombe hela kwa kakaHela yenyewe anaomba hee si nitalishwa chips kavu mie ziniikabe bure
Bad boys wakishawazingua ndo huwa mnaenda kwa nice guys mpate kufarijiwaHuwa wanasema ke wanapenda bad boys . Kwangu mie hapana .
Kule zinapookotwaga.Leo chalii umeokota pesa wapi af ukawa kimyap
Umeziacha zingine nikaokote na mimi?Kule zinapookotwaga.
Ndio tatizo la kutoroka shule, ukakimbilia mjini😅
😂😂 pacha ake fulani huyoHela yenyewe anaomba hee si nitalishwa chips kavu mie ziniikabe bure
Sasa hawa hit and run si wanakuacha bila kitu maana yeye anamkula manzi kwa timing akila mbususu anasepa. Ataambulia vihela tu ambavyo havimfikishi mbali mwanamkeKuumia ataumia hata asipochuna kwahiyo bora achune ili walau muumie wote pia naye aambulie chochote kitu, kuliko kuumia yeye peke yake tena bila kitu halafu mwanaume afaidi tu ndio maana wenyewe wanasema bora kulia ndani ya gari kuliko ndani ya bajaji, maana kwa vyovyote vile mwanamke kulia lazima atalia tu hivyo ni yeye tu kuamua ataliaje na atalilia wapi
Uncle kama uncle umekuja na huku siyo mshamba_hachekwi mchukue mjomba wako kalewa na balimi😂😂 pacha ake fulani huyo
SIselfiki nishaambiwa watu wana vijifolder vya mafaili yetu 😅Bora uncle wake mtu kaja hapa leo anataka kuselfika Half american
Situmiagi biere mkuuUncle kama uncle umekuja na huku siyo mshamba_hachekwi mchukue mjomba wako kalewa na balimi
Sijui nimtag af nitoke nduki🤣😂😂 pacha ake fulani huyo
tafta hela we sio wa kukaa kwa shemeji....Uncle kama uncle umekuja na huku siyo mshamba_hachekwi mchukue mjomba wako kalewa na balimi
Ahahha acha ushamba mjomba wa arusha
Kumbe kaolewa na dada yake 😂🤣tafta hela we sio wa kukaa kwa shemeji....
Kwashemej kutamu sana nakula bure nalala bure na hela ya matumizi juu why nitoketafta hela we sio wa kukaa kwa shemeji....
Ushamba kwetu ni sunnah na mshamba hachekwiAhahha acha ushamba mjomba wa arusha