sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Kiumeee kiumeeeni...Haha we ni timu gani
Kiumeee kiumeeeni...Haha we ni timu gani
😐😓😣🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶 Yapunguze basi kidogo mkuuuYamejaa mpaka juu kabisa.🙄
Aahh mimi siwezi kuselfika maana timu yangu ilitoa boko jana hivyo sina furaha, ila kama ikichukua ubingwa wa ligi nitaselfika hilo naahidi, na uje unikumbushe hii ahadi yanguUlikuwa kichwani mwangu. Naomba leo wewe Jadda uselfike ili furaha yangu ikamilike. Please, leo zamu yako mamii


🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ngumu kuyapata pia Dr.
Na siku nikianza Kuna hatari ya kubwia Kama uncle shamte
😐😓😣🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶 Yapunguze basi kidogo mkuuu
DahAahh mimi siwezi kuselfika maana timu yangu ilitoa boko jana hivyo sina furaha, ila kama ikichukua ubingwa wa ligi nitaselfika hilo naahidi, na uje unikumbushe hii ahadi yangu![]()
NakaziaUmeedit weka pic ya msosi wa Shishi hapa😅😅😅
Leo chalii umeokota pesa wapi af ukawa kimyap
Who wanna be a nice guy that take her out, a guy who pays her bills but dont eat pussyMay God bless them abundantly . ipo siku watakula mema tu .
Jiandae kesho mida ya lunchEeh anipeleke nikale heavy lunch😋
Sasa nikikupeleka si utakula af utaenda safisha vyombo au 😂😂Nakazia
Si utatutumia hela ya kulipia kakaJiandae kesho mida ya lunch
Hahaaa kila la heri Katika kutapeli
Natunza hii nukuu kwa matumizi ya baadae!!!![]()


Janja janja sana kijanaSi utatutumia hela ya kulipia kaka
Ndio tatizo la kutoroka shule, ukakimbilia mjini😅Kwani on inashida gani mbona imetrend sana😂
Niliwamis dada na shemejiNdio tatizo la kutoroka shule, ukakimbilia mjini😅