Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,505
- 8,713
Embu tupia hiyo ya kurembuaNishavimbiwa hapa narembuaa tu kwa usingizi ☺️
Embu tupia hiyo ya kurembuaNishavimbiwa hapa narembuaa tu kwa usingizi ☺️
Namuona namuona sumbai tena ni jirani kabisa. Siku tutakutana tu 😉Bantu Lady unaitwa huku
🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🤣Embu tupia hiyo ya kurembua
Kile kipande cha tishert ya Argentina alichotupiaga ukikiunganisha na hichi mzeee wa hall 5 anaapia live bila chenga!




Aya tunasubiria ya kurembua mnywani🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🏃🏻♀️🤣
Niwaibe nisiwaibe? Sema Tonnia 😄😄😄😄😄Hatare nanusuuuu hioo!!
Rudi hapa....usihame
Mweh hata haipo mnywani!Aya tunasubiria ya kurembua mnywani
Bantu Lady lini unanipeleka hii mitaa
Dah..
Wewe fanya ukuje pande za huku ilipo kwetu pazuri kitambaa cheupe the great 40 40
Alafu nicheek.
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa!! Waibe upotee nao mtaa wasabaaaa kwanzaaa😄Niwaibe nisiwaibe? Sema Tonnia 😄😄😄😄😄
Tonnia..Niwaibe nisiwaibe? Sema Tonnia![]()
Si unasinzia sinzia hapo fanya kuji selfie tu mnywaniMweh hata haipo mnywani!
Basi it's only fair nikirudisha na hii #tbtMimi mzungu tu Kama wewe Dr!
Muibwee tyuu hakuna namnaa 🤣🤭Tonnia..
Nawaiba wakaka wazuri hawa, naondoka nao wote. Miye Mkurya kuwa nao wawili haina shida. Msipowaona mje mtaa wa 3, mtanikuta nao 🤣🤣🤣🤣🤣Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa!! Waibe upotee nao mtaa wasabaaaa kwanzaaa😄
Huko mtaa wa Saba kutamu saana.Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa!! Waibe upotee nao mtaa wasabaaaa kwanzaaa![]()
Dr Kama DrBasi it's only fair nikirudisha na hii #tbtView attachment 2610218