Hahahaa ndo maana saivi kuna msemo kwa wanaume 'tafuta hela' haijalishi mwanamke gani wote wanataka hela tuHao ni pisi kali aisee , kipato cha nini jamani , vizuri vina gharama hivyo wahudumieni tu , mle mema ya nchi
🤣🤣🤣🤣eeeh eeeh eeh.It is You? 🤣🤣🤣🤣
Nmepaliwa hadiIt is You? 🤣🤣🤣🤣
Kwa hiyo umeona bado hela inahusikaI'm sure baadhi huwa wanachangamsha genge tu. Besides, hata anaenokena hana hela kwa kiwango cha huyu au yule, kuna mtu mahali anamuona ana hela.
Maisha mnayafanya yawe magumu nyie wenyewe Mzee wa kupambania 😏Kwa hiyo umeona bado hela inahusika
Mpe Jeep niwe chawa wako au wasemaje Dr LizzyNipo hapa kuunganisha vipande mpaka nitapata sura nzima
Mtoto unatupia vitu 🔥 aisee mimj ngojea nikupe tu 👑 😘
Kama huna pesa nyeto inakuhusuMfano mzuri humu jf wanawake wanasemaga wazi kuwa mwanamume asipokuwa na pesa hapana. Mnadai pesa za mwanamume tamu
Wait....what?
Wapi...lini...how??Nijue .aana umaarufu ni hela kabisa!!!


Kabisa mkuu ni mwendo wa kujichukulia sheria mkononiKama huna pesa nyeto inakuhusu
Pesa ya kukidhi basic needs na kausafiri na luxuries kidogo ndo muhimu , hayo mengine extra . Halafu wengine wanawapiga vizinga ili mchomoeVizinga vinatofautina lakini kikweli kwa sasa bila pesa ni ngumu. Utakuta mwanamume anaulizwa unafanya kazi gani/wapi? Au utasikia kwani wewe kibarua wapi? Wasio na aibu wanauliza hadi mshahara. Yote hiyo ni kutaka kukadiria kipato chako
Ohh wonderful ASEE, mdada mwenye akili zake 🤗🤗🤗🤗🤗🤗 BLESS UP 🤓👏😄😄
Wa kizushi tu, japo ni psychologist kasoro cheti.
Embu ni-expose kidogo 🤓Mimi sikujui ila Nakufahamu sasa nikielezea hapa umaarufu wako si nitakuexpose jamani![]()
kweli kabisa mapenzi ya kweli hayapo.... hao walioishi kwenye ndoa miaka mingi sidhani kama ni mapenzi tu ndo yamewaunganisha.... love is not enoughKabisa mkuu ni mwendo wa kujichukulia sheria mkononi
Ukimtongoza tu mrembo wa siku hizi hapohapo nywele zinafumuka, gesi inaisha, mara hajala msururu wa shida tupu 😀😀😀Maisha mnayafanya yawe magumu nyie wenyewe Mzee wa kupambania 😏