Hela napenda (that's why I work!!), ila sijawahi kumpenda mtu sababu ya hela.We hupendi mwanaume mwenye hela 🤔
Absoutely true , UPENDO ndio kila kitu na ndio maana tuko hapa japo ni Ma InvisibleMsidanganyike bana. Hela ni muhimu ila sio kila kitu.
Jesuuuu duuh kwaiyo unampendea nn tabia au 🤔😀 appearance au akiliHela napenda (that's why I work!!), ila sijawahi kumpenda mtu sababu ya hela.
🤔🤔🤔 Mmmh imekaa kaaje hiiAbsoutely true , UPENDO ndio kila kitu na ndio maana tuko hapa japo ni Ma Invisible
Well said .Msidanganyike bana. Hela ni muhimu ila sio kila kitu.
Ile misosi unayotubulesi 🤔😀😀😊😊😊
Flat tummy niliipenda ila kakitambi kakanipenda zaidi. 🥴🥴
Warembo wa siku hizi bila pesa hauwapati. Yaani ungekuwa mwanamume ungejioneaMsidanganyike bana. Hela ni muhimu ila sio kila kitu.
Hivyo vitatu 👆🏾 ndio muhimu sasa.Jesuuuu duuh kwaiyo unampendea nn tabia au 🤔😀 appearance au akili
Usikute mnaenda kwa wanawake classic hao . Ashazoea kuspend yeye , lazima atake pesa .Warembo wa siku hizi bila pesa hauwapati. Yaani ungekuwa mwanamume ungejionea
Inategemea wapi, nani & kwanini. Mara nyingi nyie wenyewe ndio mnafurahia/sababisha iwe hivyo kwakulazimisha mahusiano na watu ambao wamekaa kimaslahi zaidi.Warembo wa siku hizi bila pesa hauwapati. Yaani ungekuwa mwanamume ungejionea
Nipo hapa kuunganisha vipande mpaka nitapata sura nzima😊😊😊
It's one of my fav!
View attachment 2609670
Ila usidanganyike, these tege are far from straight.🫣
Vizinga vinatofautina lakini kikweli kwa sasa bila pesa ni ngumu. Utakuta mwanamume anaulizwa unafanya kazi gani/wapi? Au utasikia kwani wewe kibarua wapi? Wasio na aibu wanauliza hadi mshahara. Yote hiyo ni kutaka kukadiria kipato chakoUsikute mnaenda kwa wanawake classic hao . Ashazoea kuspend yeye , lazima atake pesa .
🤔🤔🤔 Mmmh imekaa kaaje hii
☺️☺️Nipo hapa kuunganisha vipande mpaka nitapata sura nzima
Mtoto unatupia vitu 🔥 aisee mimj ngojea nikupe tu 👑 😘
Mfano mzuri humu jf wanawake wanasemaga wazi kuwa mwanamume asipokuwa na pesa hapana. Mnadai pesa za mwanamume tamukama mtu ana kazi/biashara yake inayomfanya aweze kumudu maisha (kodi/chakula/mavazi/mitoko ya hapa na pale) unadhani kitu cha kwanza kuangalia kwa mwanaume itakuwa 💰 kweli???
Duuh kuna kaa ukweli hapa 🤔Upendo huleta kila kitu Mkuu, Sasa Wewe una hela zako halafu unachukiwa na watu hiyo unaionaje? AMRI KUU NI UPENDO hata Yesu aliwaambia Wanafunzi wake. UPENDO ni Amri sio OMBI 😂 😂 😂
Hao ni pisi kali aisee , kipato cha nini jamani , vizuri vina gharama hivyo wahudumieni tu , mle mema ya nchiVizinga vinatofautina lakini kikweli kwa sasa bila pesa ni ngumu. Utakuta mwanamume anaulizwa unafanya kazi gani/wapi? Au utasikia kwani wewe kibarua wapi? Wasio na aibu wanauliza hadi mshahara. Yote hiyo ni kutaka kukadiria kipato chako
I'm sure baadhi huwa wanachangamsha genge tu. Besides, hata anaenokena hana hela kwa kiwango cha huyu au yule, kuna mtu mahali anamuona ana hela.Mfano mzuri humu jf wanawake wanasemaga wazi kuwa mwanamume asipokuwa na pesa hapana. Mnadai pesa za mwanamume tamu