Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,592
- 35,847
labda sio coca mie,
Sijaanza jana kuinamia na kuililia mikunyenge,
Naijua kuliko inavyojijua yenyewee.
Coca coca coca nakuita mara 3 shauri yako usije kimbia kabla ya game
labda sio coca mie,
Sijaanza jana kuinamia na kuililia mikunyenge,
Naijua kuliko inavyojijua yenyewee.
Sasa we uliona wapi pipi inamung'unywa na ganda lake?![]()
Unalewa kwanza mm sitak demu Mwenye aibu nikiwa katika kazi zangu za ubaharia




unanionajee wa kispot spot sanaaa? Aibu utakua nayo wee.Coca coca coca nakuita mara 3 shauri yako usije kimbia kabla ya game




unachekeshaa weeNendaakakushughulikie huko , ukawe mwepesisiweziiiii, hapa nimchokozee kwan G kwa cm akisema niende fastaa nshapanda bajaji, ntaenda kuoga huko huko.
Acha bhasilabda sio coca mie,
Sijaanza jana kuinamia na kuililia mikunyenge,
Naijua kuliko inavyojijua yenyewee.

Okay ,haujambo ?Ohhh sorry mamiloo
Milele Amina ..habari ya weekend ?Sijambo
Tumsifu yesu kristo
Milele Amina ..habari ya weekend ?
Nini shida Chief ?Mbaya
Nendaakakushughulikie huko , ukawe mwepesi




wee Dear, nawe utafute wa kuku shughurikia, usikae na ugwadu sanaa.Na mawimbi ya pande zote inashika,Sema
Haki ya nani
Channels zote![]()





Utulie huko ulipo , mambo mengi sana kichwani Nijitahidi kutafuta pesa kwanzawee Dear, nawe utafute wa kuku shughurikia, usikae na ugwadu sanaa.
Nini shida Chief ?





Pesa zipo tyuuh Dear, upe mwili haki yakeUtulie huko ulipo , mambo mengi sana kichwani Nijitahidi kutafuta pesa kwanza
jina lipi nikuite kwa mfano ?Kwan huwez kuniita jina zuri mara chief mara mkuu mara ndugu mara kaka![]()