MALCOM LUMUMBA JF-Expert Member Joined Jul 26, 2012 Posts 21,460 Reaction score 69,385 Nov 23, 2019 #32,321 Watu8 said: Mti...never gets old Click to expand... It doesn't.It doesn't.....
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,377 Reaction score 108,543 Nov 23, 2019 #32,322 Hivyo ilivyo ndio sahihi maana ina fibre nyingi, ipo na antioxidant zaidi, less sugar Ile yenye vidoti imeiva zaidi hivyo fibres ni chache, sukari nyingi, less antioxidant effect Ni stages tu katika uivaji hadi inaelekea kuoza.. Bella Ciao said: Umeshikishwa izo mkuu... Zile zenye vidoti doti ndio ndizi mbivu original Click to expand...
Hivyo ilivyo ndio sahihi maana ina fibre nyingi, ipo na antioxidant zaidi, less sugar Ile yenye vidoti imeiva zaidi hivyo fibres ni chache, sukari nyingi, less antioxidant effect Ni stages tu katika uivaji hadi inaelekea kuoza.. Bella Ciao said: Umeshikishwa izo mkuu... Zile zenye vidoti doti ndio ndizi mbivu original Click to expand...
NDINDA Platinum Member Joined Apr 4, 2011 Posts 10,726 Reaction score 49,572 Nov 23, 2019 #32,323 Hili eneo linafaa sana wale wenzetu wa A table for two Attachments IMG_4117.JPG 148.7 KB · Views: 7
Prem 96 JF-Expert Member Joined Jul 19, 2019 Posts 607 Reaction score 1,972 Nov 23, 2019 #32,324 Hata hizi ni tamu saana aise alafu bei kidogo ndio imenishangaza Bella Ciao said: Umeshikishwa izo mkuu... Zile zenye vidoti doti ndio ndizi mbivu original Click to expand...
Hata hizi ni tamu saana aise alafu bei kidogo ndio imenishangaza Bella Ciao said: Umeshikishwa izo mkuu... Zile zenye vidoti doti ndio ndizi mbivu original Click to expand...
Bella Ciao JF-Expert Member Joined May 28, 2019 Posts 1,804 Reaction score 4,471 Nov 23, 2019 #32,325 Watu8 said: Hivyo ilivyo ndio sahihi maana ina fibre nyingi, ipo na antioxidant zaidi, less sugar Ile yenye vidoti imeiva zaidi hivyo fibres ni chache, sukari nyingi, less antioxidant effect Ni stages tu katika uivaji hadi inaelekea kuoza.. Click to expand... Mkuu kuna ndizi zenye vidoti na nyingine hazina ata kama iive adi ioze
Watu8 said: Hivyo ilivyo ndio sahihi maana ina fibre nyingi, ipo na antioxidant zaidi, less sugar Ile yenye vidoti imeiva zaidi hivyo fibres ni chache, sukari nyingi, less antioxidant effect Ni stages tu katika uivaji hadi inaelekea kuoza.. Click to expand... Mkuu kuna ndizi zenye vidoti na nyingine hazina ata kama iive adi ioze
Sanchez magoli JF-Expert Member Joined Apr 24, 2015 Posts 4,056 Reaction score 8,543 Nov 23, 2019 #32,326 Cresida said: Nawasalimu. View attachment 1270309 Click to expand... Watu na pisto zenu.
NDINDA Platinum Member Joined Apr 4, 2011 Posts 10,726 Reaction score 49,572 Nov 23, 2019 #32,327 Cresida said: Nawasalimu. View attachment 1270309 Click to expand... Nifanyie mwamala hapo !
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Nov 23, 2019 #32,328 Cause sauti yako ni kama umemeza chura DiasporaUSA said: Siamini kama hutaki kabisa kuimbiwa Karaoke ya kwenye simu Click to expand...
Cause sauti yako ni kama umemeza chura DiasporaUSA said: Siamini kama hutaki kabisa kuimbiwa Karaoke ya kwenye simu Click to expand...
Jadda JF-Expert Member Joined May 20, 2019 Posts 31,541 Reaction score 88,494 Nov 23, 2019 #32,329 kaka amka usingizini jamani utapee Watu8 said: Wenzanko tumenyakuliwa... Hivyi ninavyochat hapa nipo mkono wa kuume wa Mungu baba, tupo na Simon Petro na Andrea nawafundisha jinsi ya kuanzisha uzi jukwaa la Dini Click to expand...
kaka amka usingizini jamani utapee Watu8 said: Wenzanko tumenyakuliwa... Hivyi ninavyochat hapa nipo mkono wa kuume wa Mungu baba, tupo na Simon Petro na Andrea nawafundisha jinsi ya kuanzisha uzi jukwaa la Dini Click to expand...
amu JF-Expert Member Joined Aug 8, 2012 Posts 16,143 Reaction score 31,276 Nov 23, 2019 #32,330 Sh ngapi? NDINDA said: Nifanyie mwamala hapo ! Click to expand...
amu JF-Expert Member Joined Aug 8, 2012 Posts 16,143 Reaction score 31,276 Nov 23, 2019 #32,331 Mshanajr mambo yetu
amu JF-Expert Member Joined Aug 8, 2012 Posts 16,143 Reaction score 31,276 Nov 23, 2019 #32,332 Teh teh kiti kimenipa sapoti ila hakuna kitu Sanchez magoli said: Watu na pisto zenu. Click to expand...
Teh teh kiti kimenipa sapoti ila hakuna kitu Sanchez magoli said: Watu na pisto zenu. Click to expand...
Paula Paul JF-Expert Member Joined Oct 23, 2019 Posts 4,649 Reaction score 13,624 Nov 23, 2019 #32,333 Eli79 said: Utakuwa magharibi mwa dunia Paula, sisi huku mashariki jua linawaka ni hatari. Usiku mwema... Click to expand... Asante Eli.
Eli79 said: Utakuwa magharibi mwa dunia Paula, sisi huku mashariki jua linawaka ni hatari. Usiku mwema... Click to expand... Asante Eli.
NDINDA Platinum Member Joined Apr 4, 2011 Posts 10,726 Reaction score 49,572 Nov 23, 2019 #32,334 Cresida said: Sh ngapi? Click to expand... Fanya tu wa Elfu ishirini , itakua luku hiyo
DiasporaUSA JF-Expert Member Joined Aug 27, 2016 Posts 23,503 Reaction score 29,906 Nov 23, 2019 #32,335 Riziki na fursa ni kama basi la abiria. Kila fursa na kila riziki inakupeleka katika uelekeo fulani, inakukutanisha na watu fulani, inakupitisha katika hatari fulani na kukupa mafanikio ya aina fulani. Usidandie bila ya kusoma kibao.
Riziki na fursa ni kama basi la abiria. Kila fursa na kila riziki inakupeleka katika uelekeo fulani, inakukutanisha na watu fulani, inakupitisha katika hatari fulani na kukupa mafanikio ya aina fulani. Usidandie bila ya kusoma kibao.
Sanchez magoli JF-Expert Member Joined Apr 24, 2015 Posts 4,056 Reaction score 8,543 Nov 23, 2019 #32,336 Cresida said: Mshanajr mambo yetu View attachment 1270337 Click to expand... Hahaha maisha hayako fair Mimi nimekaa na maji yangu tu hapa namshangaaa mnyama Simba
Cresida said: Mshanajr mambo yetu View attachment 1270337 Click to expand... Hahaha maisha hayako fair Mimi nimekaa na maji yangu tu hapa namshangaaa mnyama Simba
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,472 Nov 23, 2019 #32,337 platozoom said: Tupia kapicha kako tuoshe mecho Click to expand... Subiria natupia sasa hivi aki
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,472 Nov 23, 2019 #32,338 RRONDO said: πππ nasikia ndio kitu cha kwanza mnaangalia Click to expand... Hasa mimi, sijui ni katatizoo
RRONDO said: πππ nasikia ndio kitu cha kwanza mnaangalia Click to expand... Hasa mimi, sijui ni katatizoo
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,472 Nov 23, 2019 #32,339 NDINDA said: View attachment 1270217 Click to expand... Raba konki
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,472 Nov 23, 2019 #32,340 DiasporaUSA said: We need to make useful moments for life with the people we meet here n there Click to expand... Noted
DiasporaUSA said: We need to make useful moments for life with the people we meet here n there Click to expand... Noted