Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Breakfast..

Kujipikia raha sana..

IMG_2978.jpg
 
Screenshot_20230426_104342_Messages.jpg

Nilikuwa nimeshafika shambani alafu ndiyo napokea ujumbe kuhusu Sikukuu hii, wacha nipite pite kwa majirani huenda nikabahatika Biriani/Pilau 🤗🙌

Najua wengi wenu hapa bila usaidizi wa Google mnaweza msikumbuke Mwaka ambapo tukio hili la kihistoria limetokea 🤪

Happy MUUNGANO DAY to everyone here 🥂
 
View attachment 2600036
Nilikuwa nimeshafika shambani alafu ndiyo napokea ujumbe kuhusu Sikukuu hii, wacha nipite pite kwa majirani huenda nikabahatika Biriani/Pilau 🤗🙌

Najua wengi wenu hapa bila usaidizi wa Google mnaweza msikumbuke Mwaka ambapo tukio hili la kihistoria limetokea 🤪

Happy MUUNGANO DAY to everyone here 🥂
vodacom wanadukuwa hadi tarehe za kuzaliwa nilishawaletea shida sana
 
vodacom wanadukuwa hadi tarehe za kuzaliwa nilishawaletea shida sana
Sio kwamba wanadukua, ni kuwa sasahivi taarifa nyingi wamezi link na NIDA hivyo inakuwa rahisi kujua tarehe uliyozaliwa kama ilivyojazwa kule NIDA.

Mimi hunisaidia kunikumbusha siku yangu ya kuzaliwa, manake wazee wengi wa umri wangu huwa tuna tatizo la kupoteza kumbukumbu 🤪🏃🏃🏃
 
Sio kwamba wanadukua, ni kuwa sasahivi taarifa nyingi wamezi link na NIDA hivyo inakuwa rahisi kujua tarehe uliyozaliwa kama ilivyojazwa kule NIDA.

Mimi hunisaidia kunikumbusha siku yangu ya kuzaliwa, manake wazee wengi wa umri wangu huwa tuna tatizo la kupoteza kumbukumbu 🤪🏃🏃🏃
hiyo ni ishara mbaya sana taarifa zangu si sawa kuzitumia wanavyojisikia niliwambia iwe mwanzo na mwisho huo ujinga usijirudie kisha nikakata simu
 
hiyo ni ishara mbaya sana taarifa zangu si sawa kuzitumia wanavyojisikia niliwambia iwe mwanzo na mwisho huo ujinga usijirudie nikakata simu
Hahaha.........Pole sana Mkuu

Hizo taarifa za NIDA kwasasa zina link na taarifa za Benki, Uhamiaji, mitandao ya Simu n.k

Kwa kiasi fulani zimesaidia kuondoa tatizo la duplication
 
Hahaha.........Pole sana Mkuu

Hizo taarifa za NIDA kwasasa zina link na taarifa za Benki, Uhamiaji, mitandao ya Simu n.k

Kwa kiasi fulani zimesaidia kuondoa tatizo la duplication
nafikiri hunielewi mimi shida yangu si kunganishwa kwa tarifa shida ni matumizi ya taarifa,kama ni hivyo wanijulishe na Bday ya wazazi wangu si wameamua kuchota tarifa zangu na kuzitumia.japo na fahamu kujua mwaka tarehe na mwezi wa kuzaliwa mtu ni rahisi sana kujua kupitia kuiyona nida namba yake lakini bado si tiketi ya kutumia tarifa hizo kwa namna yoyote bila ridha yake
 
nafikiri hunielewi mimi shida yangu si kunganishwa kwa tarifa shida ni matumizi ya taarifa,kama ni hivyo wanijulishe na Bday ya wazazi wangu si wameamua kuchota tarifa zangu na kuzitumia
Nilikuelewa Mkuu, ingawa hilo tatizo lipo kwenye mitandao karibu yote ya simu.

Ingawa Mwaka Jana nilishtushwa zaidi baada ya kutumiwa birthday wishes na Benki.

Hii inaonesha taarifa zetu wanazitumia kiholela
 
Back
Top Bottom