Aweee asante besty...basi tuseme nawakubali sanaa...wacheshi kumbe mpk sura na maumbo yenu yanajieleza..Unajiachaje mtani miye nilikuona, uko full mtoto sura, mtoto mshepu yaani wewe na Tonnia kama mapacha 👌👌👌😍😍😍😍😍
Lipi hilo meji?? 😄 😄 😄
Asante pia, tunakupenda sana mtani 😘😘😘😘Aweee asante besty...basi tuseme nawakubali sanaa...wacheshi kumbe mpk sura na maumbo yenu yanajieleza..
Shangaa Nawewe dear ye anajisahauu eti .. Kalpana mtrotro potrabo mtrotro ana shepuu mtrotro ana jichooo la kurembuaa balaaaa!! mtrotro mkareee kinoumaaa!!😍😍Unajiachaje mtani miye nilikuona, uko full mtoto sura, mtoto mshepu yaani wewe na Tonnia kama mapacha 👌👌👌😍😍😍😍😍
😍😍😍😍😍Asante pia, tunakupenda sana mtani 😘😘😘😘
ana heka heka nyingi kama kuku metetea , yeye na uvumilivu walisha achana




ankoliii wee muongooo.Mwenzenu leo nafatilia passport, yaan kuna usumbufu balaa.Alikua anaswampia Wapii coca nae. Kweli alipitwa na bongesaa la mselfiii!!
😘😘😘😍😍😍😍Mm ni nani nibishee na macho yenu yamenikubalii.... 😍 😍 😍
Pamoja sana vipenzi
Nikumbushe jioni nkishafungaLipi hilo meji??![]()
![]()
![]()
Binamu ndo ukaninyima pilau la iddwachaa wee.

Eid ilipita km hainijui vileee,
Idd Ilikukuta wapi KwanEid ilipita km hainijui vileee,
Wee nilaumu kwa pasaka, ila Eid utanionea.
