Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Hahahaha weweeeee
Mkunaji wa upele.
Natumaini watoto wamelala
Mkunaji wa upele.
Natumaini watoto wamelala

sikukosea kutokukuamini
Itaniliza sana time nanunua gari halafu wadada mhamie kwenye kupenda wenye ndege
Kama ndiwe basi karibuni utaniona mlipohamia downtown...



she is engaged
Wewe dada mtu hujafika 30 halafu mdogo mtu is already taken. Howcome au ni early marriage ilitokea ?
Una kamdomo kazuri
Mmhh umenishitua mkuu,, mie sipo hapo ila ningependa kujua huyo dada jina lake linaanzia na herufi gani kama unalifahamu..
Day 16
Sat Nov 23 2018
Time 01:42 night
Bado nimejificha kwenye huu Uzi
Akuuu, hizi ni tabia zako kabisa!!!I thought ni wewe,, kaiga kwako..
Watoto kwa kujimwambafai sasakwani uongo,, hivi huwa unafikiri mimi ni mtoto mwenzio enh??

Toooba!!I love Cougars( Woman 10-15 years Older than me)Don’t ask me why.
![]()
Kitambi cha viroba hicho mdogo wangu.
Mshamaliza diskasheni yenu?Akuuu, hizi ni tabia zangu kabisa!!!

Bado, hebu kalete juice.Mshamaliza diskasheni yenu?![]()
Bado, naomba hela ya juice kaka yangu