Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485



I thought ni wewe,, kaiga kwako..
We ndio umemfunza hiyo tabia mbaya?



I thought ni wewe,, kaiga kwako..
We ndio umemfunza hiyo tabia mbaya?
Walimwengu wamesinzia Dada akeI thought ni wewe,, kaiga kwako..





kwani uongo,, hivi huwa unafikiri mimi ni mtoto mwenzio enh??
Teh teh teh teeeeeh!!
Watoto bwana![]()

Walimwengu wamesinzia Dada ake
Fanya yako
Hahahaha mkuu humu unaweza ukadhani uko peke yako kumbe mapopo yako mengi tu yamesimamisha masikio yanasubiri uweke mzigo yaibuke,, sina hamu mie..




Sijaona utata, Nipo JF toka sijui 2011? Ndio nashangaa huku jina Lina utata, ila hapa nimepapenda
. Nashangaa unasema N imefutika 




Hahahaha it is scientifically proven my brother



Wekeni tu hio mizigo jamani sadaka sio lazima mpaka utoe kanisani



ndiyo kuna muda hiyo N ya kwanza inakuwa haionekani
Sijaona utata, Nipo JF toka sijui 2011? Ndio nashangaa huku jina Lina utata, ila hapa nimepapenda
. Nashangaa unasema N imefutika
![]()



no akili ya kujenga hoja
Labda akili ya kupika msosi, kutunza watoto, kuchota maji kisimani...otherwise hapa tutaweka debate tu
Kweli haukukosea kujipa hiyo username,, kwa pembeni kichwa chako kama cha Eden Hazard![]()
ndiyo kuna muda hiyo N ya kwanza inakuwa haionekani
, Naweza kukutafutia mkali wa Haya mambo chini
atakuondolea utata. 
Umefanikiwa kupendezesha room mkuu.