Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,720
- 15,352
Aiseeee nmekukubali hyo kiatu nmeielewa mnooo
Hili ndio chimbo lako Eli😊😊.Nashukuru kuna visu nimefanikiwa kuviona, leo sijachelewa sana. Sasa naenda kanisani![]()
😆😆😆alitutesa sana huyu jamaaKwanini mlimuua Samson mkuu??
Mambo ya casual ayoAiseeee nmekukubali hyo kiatu nmeielewa mnooo

Hahaha, Paula kumbe unapita huku. Karibu na wewe utupe fahari ya macho. Ninajitahídi na ile project, nitakupa mrejesho...Hili ndio chimbo lako Eli.
Nilikuwa nakutafuta nijue maendeleo yako.
Acha kabisaaa,yaani haha yaani ngoja nitasema siku nyingine,simple but classic 😘 😘 😘Mambo ya casual ayo
Nashukur kwa kulielewa ilo Dundo af limeendana na soksi na suruali![]()
Nilikuwa naku search wewe nikaona comment yako hapa ndio nikaja.😊😊Hahaha, Paula kumbe unapita huku. Karibu na wewe utupe fahari ya macho. Ninajitahídi na ile project, nitakupa mrejesho...
Utakuwa mzuri tu wala usijali. Yeah, fahari ya macho my friend,..Nilikuwa naku search wewe nikaona comment yako hapa ndio nikaja.
Jitahidi Eli natumai mrejesho utakuwa mzuri.
Fahari ya macho? Lol![]()
Na wewe pia mkuu vipi mguu unaendeleaje ?Weekend njema!!View attachment 1269897
Sawa ngoja nilale kwanza. Pakikucha nitapiga picha niposti.Utakuwa mzuri tu wala usijali. Yeah, fahari ya macho my friend,..
Viatu challenges hahaha daaaah 😘 😘 😘 😂
Nashukur kaka....mzee baba unajua dressing code...wanaume wengi unapata anavaa socks nyeupe suruali black etc...wakati inabidi viwe of the same color or close





af vinafata vingne, jichunguze ata ww