Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Hukuu treinaaahhhh!! Ndio kwenyewe huku!Sema naimiss Sana mitaa iyo mnywani!!
Nataka aje apate somo huyu kijana wa hall 5 kuhusu yale mambo yetu ya uko.
Hukuu treinaaahhhh!! Ndio kwenyewe huku!Sema naimiss Sana mitaa iyo mnywani!!
Nataka aje apate somo huyu kijana wa hall 5 kuhusu yale mambo yetu ya uko.
Hii karibu na weyeee
Nawasubiria kwahamuuu kubwaaa wapendwa!!
Oukey mukwano gwange.Oluganda/ Luhaya nlutegera katono mukwano nze ndi Munyamahanga!
tunawakaribisha Sana mkuu
Au sioNawasubiria kwahamuuu kubwaaa wapendwa!!
haha binamu yako akikurabisha inatoshaWanywani unawakaribisha
Munyamahanga unanikimbiaga
Hivi Chino wakati Rush hours 1 inatoke 1998 ulikuwa wapiii?haha binamu yako akikurabisha inatosha
Daaah yaan acha tyuuh, nashukuru nipo hapa tena.Ban imeisha bestie
Hahaha! Nilikuwa bush Sana mzee sehemu mmoja inaitwa kigwee uko Dodoma.Hivi Chino wakati Rush hours 1 inatoke 1998 ulikuwa wapiii?View attachment 2582590View attachment 2582591
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama mtumishii, umetokelezeaaa mnoo




Wachaa wee, mama mtumishii ktk ubora wakoo




Woooooowwwwww!!!!.shouzzzzzHappy Easter wana selfikaaaaaaaa!
Happy 10 years in Jf piaaahhhh
Joined 9th April 2013!!!
Baada ya kushiba karibunii tushangilieee
Muwe na wakati mwema and enjoy your Easter wapendwaaa!!![]()



Mwendo wa kwenda kuangalia Kwa Jirani ukirudi unachezea bakora za kutosha.Hahaha! Nilikuwa bush Sana mzee sehemu mmoja inaitwa kigwee uko Dodoma.
Aaliyyah tukianza story za 199 na kenda uko anajua nampanga.
Tv ilikuwa inaenda kwa ratiba leo Kijiji hiki kesho kile
😂😂😂😂Yaani unaniona dogo sio 98 mm nipo darasa la tatu najielewa kabisa😂😂Hahaha! Nilikuwa bush Sana mzee sehemu mmoja inaitwa kigwee uko Dodoma.
Aaliyyah tukianza story za 199 na kenda uko anajua nampanga.
Tv ilikuwa inaenda kwa ratiba leo Kijiji hiki kesho kile
Latatu B....Yaani unaniona dogo sio 98 mm nipo darasa la tatu najielewa kabisa
![]()
Iwee

😂😂Ndio