spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 8,029
- 21,529
Kama siku zoteChief itifaki imezingatiwa
Kama siku zoteChief itifaki imezingatiwa
Sisi hatutembei na wake za watu na wala hatuna vyama vya siasaNaked kabisa🤩
Tunasubiri na wewe naked yakoNaked kabisa🤩
Nyiee kizazi cha nyoka mnalijua ilo!Hayo mambo ya waarabu
Sisi wabantu kamwe
Ni mwiko
Iiiiiiiiigggggggweeeeeehhhh !! Kitu furuu nakedddd!! Haina mbambambaa hioo imenyoooka kama rulaaa!!
Nipe moja nipe moja kiti apoeIiiiiiiiigggggggweeeeeehhhh !! Kitu furuu nakedddd!! Haina mbambambaa hioo imenyoooka kama rulaaa!!
Santo sana Ndugu mjumbe huu Usiku kweu ni wa baraka!!
Haki wivu utamuua shouzyy wako wallah![]()



niache kuwa na wivuu tenaa? Usawaa huu kuachwa na boss kubwa km wee, ntapata wapi mwingineee mie??






Uzee umenikumba sipigi picha sikuhiz ngoja niwaangaluzie library😀Tunasubiri na wewe naked yako
Tutashukuru sanaUzee umenikumba sipigi picha sikuhiz ngoja niwaangaluzie library😀
😂😂😂Mnaenjoy tu lifeSisi hatutembei na wake za watu na wala hatuna vyama vya siasa
Akkkhhhsssannnteeeeehhhh ndugu mjumbe hutoki na mke wa mtyu wala neneee🤭😁😁😁!!Sisi hatutembei na wake za watu na wala hatuna vyama vya siasa
Cha kufear nini na hatuna mpango wa uteuzi😂😂😂Mnaenjoy tu life
kwa uzee gani Binti kigoriiiii fureshii kabisa weyeee!! Wazee hutuoni hapa 😁Uzee umenikumba sipigi picha sikuhiz ngoja niwaangaluzie library😀
Na malizia ni"marufuku kwetu kuchangia jukwaa la siasa" 😁Sisi hatutembei na wake za watu na wala hatuna vyama vya siasa
Mjep boss ya mboka weka moja mzee wa mavocha
Binamu yanguhahaha dah!
itabidi tutafute hela Sana na mzee mwenzangu wa hall 5.
MMU & CC baasi huko kwingine hapanaa (in mkojani's voice)Na malizia ni"marufuku kwetu kuchangia jukwaa la siasa" 😁
Usipepese hata kopeeee ndugu mjumbe napitaa dakika sifuri shwaaahNipe moja nipe moja kiti apoe