Selfika na JF: Snap it. Show it

nimeacha kwenda kidimbwi kabisa labda ukinipa ofa
Hongera kama umeacha, juzi kuna Mzee mwenzangu mmoja alinishawishi twende kuona yanayoendelea kule ili kufanya ulinganifu na mambo ya klabu zetu za mwaka 1957.

Kusema kweli mlichotuzidi nyinyi vijana wa kileo ni matumizi ya Shisha tu, ila kama ni Bata Wazee wenu hapa tulikula kuwazidi 🤗😜🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
kumbe yaliyomo yamo🐕
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…