Maofisini utawaweza, huko kila mtu atapewa jina, ili mradi tu. Kuna mmoja chotara wa kiarabu na kihaya. Basi anapenda aonekane na kalio na huwa ananitania, mkwe nipunguzie ...
Sasa Mkaka mwingine huwa anamwambia ungekuwana nalo weyee tusingekunywa maji 😆😆😆😆😆