Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tena

Zilikuwa zinataka 3some

Madame B nae kitambo kumbe
😅😅 kuna siku mmoja mida ya saa tisa usiku nikakutana kawaka kinoma maeneo yake, lilikuwa lina takoo mtoto anakaaa alafu anasema unapewa hadi tope.. alikuwa mcheshi sana yule dada.. anaongea kama kasuku sijaona mdada paka sasa wa kumfunika yule mama kwa mathusii 😅😅
 
😅😅 kuna siku mmoja mida ya saa tisa usiku nikakutana kawaka kinoma maeneo yake, lilikuwa lina takoo mtoto anakaaa alafu anasema unapewa hadi tope.. alikuwa mcheshi sana yule dada.. anaongea kama kasuku sijaona mdada paka sasa wa kumfunika yule mama kwa mathusii 😅😅
kwaiyo alikuwa muuzaji live? Itakuwa mlimchakata Sana
 
😅😅😅 kama alikuwa anafanya indirect.. Hapana mie sijawai kula mzigo jf hadi leo hii sijawai kula mzigo humu. Na sitokaa nile mzigo humu
sema litakuwa lizuri Sana ilo li dada!

Maana kwa ninavyojua ingekuwa pisi mbovu Watu wanavyojua kunanga humu jf haha kitambo wangekuwa wamesharuka nae.
 
sema litakuwa lizuri Sana ilo li dada!

Maana kwa ninavyojua ingekuwa pisi mbovu Watu wanavyojua kunanga humu jf haha kitambo wangekuwa wamesharuka nae.
Hakuwa na noma na mtu alikuwa na amani na kila mtu palba umkorofishe tu, ila uzuri wa mtu upo machoni pa mtu bwanasheeee 😅😅😅. Hamu ukiona mtu anapopolewa ujue kajiona almasi 🤣🤣
 
Weee mjomba kwahio niringe eehh???
Santo sana mjomba akee!!
Ringa malkia Antonnia

mtoto una rangi ya mvuto safi na pozi...

uzuri unao figa unayo usijali we ringa tuu,

mtoto unang'aa gheto mwanga wa mshumaa,

ah, ah, uzuri wako wa asili akili wako utajiri

heshima hadi usafiri kuringa unastahili (ringaa),

bambataa utadhani mko wawili,
siyo siri wengi tu unawachanganya akili, (ringaa), 🔥🔥🔥🔥 weeeringaaaaa
 
Ringa malkia Antonnia

mtoto una rangi ya mvuto safi na pozi...

uzuri unao figa unayo usijali we ringa tuu,

mtoto unang'aa gheto mwanga wa mshumaa,

ah, ah, uzuri wako wa asili akili wako utajiri

heshima hadi usafiri kuringa unastahili (ringaa),

bambataa utadhani mko wawili,
siyo siri wengi tu unawachanganya akili, (ringaa), 🔥🔥🔥🔥 weeeringaaaaa
💃💃💃💃🤭🤭🤭😂😂😂😂!!

Sio kwa verses hizo mjomba auweeeeehhh!!!
 
Back
Top Bottom