Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20230405_013125_Instagram.jpg
 
Hahaha mzee Mimi nipo tangu enzi zileee tunapiga Kelele za njaaa njaaaa.

Wakati mnapanga kwenda rev square na Yule mwalimu kisanko sijui

Mimi nilikuwa MMU na barizi tuu na kina valentine Madame B mahondaw

Wengi wamebadili idi.... So hard to remember dem al
Mimi nilikuwa sijui Kama Kuna kitu kinaotwa jf!

Sema Kama unakumbuka selection za miaka ile za mjengoni kabla released by tcu. Zili liak pitia humu. Ndipo nikaifahamu. Sema akili ya kujiunga nilikuwa Sina kabisa.

Kumbe umekula mema mengi Sana na mzee mwenzio National Anthem
 
Back
Top Bottom