Tayukwa
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 2,180
- 4,422
Ngoja kwanza nione Antonnia njoo hapa mara moja ankali wangu na kwa heshima na taadhima naomba ukanushe au uthibitishe hili eti muda huu hapa ulikua unaenda beach au unarudi??Kapachino njoo haraka kuna MTU anahitaji mawasiliano ya huyu MTU. Njoo utoe msaadaView attachment 2575843



