Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wananchi wengi hasa nchini Kenya wamebaki midomo wazi baada ya kuona video iliyovuja ikimuonesha jinsi Dj Brownskin akimrekodi mkewe Sharon Mwangi akijitoa uhai hadi kufa mbele za Watoto wake.

Video hiyo ilianza pale ambapo mkewe anaonekana akikoroga mchanganyiko wa dawa zenye sumu kwenye kikombe, huku akimwambia mumewe kuwa anataka kujiua na baada ya hapo alikunywa na kutupa kikombe na kisha kuketi kwenye kochi.

Dakika chache baadae anaanza kutokwa na povu jingi mdomoni na kuwaambia watoto wake kuwa “nakufa wanangu” – lakini muda wote huo Brownskin haonekani kuchukua hatua yoyote ya dharura kujaribu kuokoa maisha ya mkewe, bali anaendelea kumrekodi akijigaragaza kwenye kochi kisha kuanguka sakafuni.

Baada ya kuanguka sakafuni, Brownskin anamuita msichana mmoja - anayedhaniwa kuwa mjakazi - aliyefika kwenye sebule na kumtaka kumpa maziwa.“Kuna maziwa, hebu mpe maziwa, mlazimishie akunywe,” Brownskin anasikika akimwambia msichana yule.

Hata hivyo, mkewe wakati huu anaonekana kulemewa kabisa na sumu na yuko sakafuni anajigaragaza kutokana na makali ya sumu mwilini, hawezi hata kushika kikombe cha maziwa.

Ikumbukwe Marehemu Sharon Mwangi aliaga dunia mwaka uliopita lakini video imevuja Leo Jumapili , Aprili 2, 2023.

IMG-20230403-WA0180.jpg
 
Hellowzzzzzzzzzzz!!!

Coca in da house, ndo nimeingia hivyooo na mabegi nimeshatuaaaaa,

Ila sio kwa kifungo hikii, yaan hadi nilisahau km kuna selfika, leo modes mwenyewe kanifuata PM na kunambia niko huru, ila nipunguzee heka heka,

Wapiiiiiii selfikaaa, hebu wekeni picha zenu niwaoneeee, maana kitamboooo sanaaaa.

Nimewamic mnooooooooo!!!!!!!!!!


Kwanza kabisa,tunataka kuona hekaheka za vazi uliloenda kuchukulia tuzo
 
Hellowzzzzzzzzzzz!!!

Coca in da house, ndo nimeingia hivyooo na mabegi nimeshatuaaaaa,

Ila sio kwa kifungo hikii, yaan hadi nilisahau km kuna selfika, leo modes mwenyewe kanifuata PM na kunambia niko huru, ila nipunguzee heka heka,

Wapiiiiiii selfikaaa, hebu wekeni picha zenu niwaoneeee, maana kitamboooo sanaaaa.

Nimewamic mnooooooooo!!!!!!!!!!

Kwahiyo heka heka zitapungua?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom