sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Thank you sumbai nimemalizana deni nawewe sasa. Si ndiyo?
Hapana. Bado deni ni kubwa saana Kama la hii nchi.Thank you sumbai nimemalizana deni nawewe sasa. Si ndiyo?
Anasubiria Iftar kwa hamu huko. Yeye aliiona jana, leo na kasema kaisave 😂😂😂😂 Chino hana maana kabisaHapana. Bado deni ni kubwa saana Kama la hii nchi.
Where is Chino?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Chino kaisave.Anasubiria Iftar kwa hamu huko. Yeye aliiona jana, leo na kasema kaisaveChino hana maana kabisa
Nimekoma mimi 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻😄😄😄😄😄
Nimekubali.Nimekoma mimi
Msinifanyie hivyo wazee wa Hall 5 dah![]()
Ila....????
Una nini Ankol? 😅😅😅😅😅 hongera sana Ankol wetu. Ndoa ni jambo jema na kuongeza Elimu pia. Kila la kheri Ankol Mwenyezi Mungu akutangulie.
Ankol mambo ni🔥🔥🔥🔥😋😋😋😋😋😋😋 hao samaki yaani ni mchemsho wa nguvu. Ukitoka hapo Aunt lazima aseme thanks babe....
😋😋😋😋😛 Iftar njemaaa mjombaaa naona Tayukwa Kapachino ndio wametudindia kutukaribishaaaa kabesaaa vibaya hivoooo mjueee!! in Bantu Lady voice ☺️!
😅😅 hapa baadae usiku kuna jisupuuu la pwezaaa .. si unaja linaongeza damu na chakula nzuri kwa brain..Ankol mambo ni🔥🔥🔥🔥😋😋😋😋😋😋😋 hao samaki yaani ni mchemsho wa nguvu. Ukitoka hapo Aunt lazima aseme thanks babe....
Wow asante sana Tayukwa kinaonyesha ni kitamu sana, enjoy ur Iftar rafiki 😘
😅😅😅shangazii jiadae kuja kuninyoa ..miss you furaha yangu ni wewe😋😋😋😋😛 Iftar njemaaa mjombaaa naona Tayukwa Kapachino ndio wametudindia kutukaribishaaaa kabesaaa vibaya hivoooo mjueee!! in Bantu Lady voice ☺️!