Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,485
Alhamdulillah Yuko vizuri atafika mbali πSipati picha mizawadi yakee toka kwa mwambaaa!!π!!
Alhamdulillah Yuko vizuri atafika mbali πSipati picha mizawadi yakee toka kwa mwambaaa!!π!!
Lol pole sana kipenzi!! Aendelee kupumzika kwa amani mbele yeye nyuma sieThank you dear Nina upweke sana Hii birthday nimekosa nguvu ya kusherehekea birthday Leo nimeshare mwez na Kifo Cha babaangu but ndo Ivo nishacancel na oda ya keki nipo hapa nashangaa shangaa
Gari imesoma kilometa chache sana! Haitumiki ovyo ovyo itakuwa.Tena Chino π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Mungu aendelee kumzidishia na kumbariki maradufu kiukweli hanaga mbambambaa kabisa!!Alhamdulillah Yuko vizuri atafika mbali π
Amiin π nashukuru Kwa nanyi Kwa upendo wenu napokea salamu nying Hadi najiona mtu nami kwenye watu π₯°π₯°Lol pole sana kipenzi!! Aendelee kupumzika kwa amani mbele yeye nyuma sie
Mtrotro mnaatrrrooo kitu stekii kama zoutreeee hapana chezea Bantu rede weweeh!!Gari imesoma kilometa chache sana! Haitumiki ovyo ovyo itakuwa.
Wanaopata bahati ya kuiendesha waniazime icho kimzizi chino
Amiin nami namuombea kheri nyingi sana huko aliko Allah amzidishie baraka ziongezekeMungu aendelee kumzidishia na kumbariki maradufu kiukweli hanaga mbambambaa kabisa!!
Ila kusema kweli sipendagi kutumika kabisa. Yaani nauheshimu mwili wangu kuliko, bora niambiwe naringa ila acha nikae hata miaka 2 bila sex ila nikija kuwa na mtu, ni wa uhakika. Wasichana wadogo wanavyotumika, wanazeeka kabla ya umri nawaonea huruma sana. Life is Good...Gari imesoma kilometa chache sana! Haitumiki ovyo ovyo itakuwa.
Wanaopata bahati ya kuiendesha waniazime icho kimzizi chino
mi nilikuwa nadhania chini tu mnywani!Mtrotro mnaatrrrooo kitu stekii kama zoutreeee hapana chezea Bantu rede weweeh!!
namba E ila nyonyo tiyari liko tumboni! Wanawake mkigawa ovyo ovyo miaka mitano 5 mingi!Ila kusema kweli sipendagi kutumika kabisa. Yaani nauheshimu mwili wangu kuliko, bora niambiwe naringa ila acha nikae hata miaka 2 bila sex ila nikija kuwa na mtu, ni wa uhakika. Wasichana wadogo wanavyotumika, wanazeeka kabla ya umri nawaonea huruma sana. Life is Good...
Kweli kipenzi tunapenda kuslay lkn gharama zake ni kubwa kama hauna kaziIla kusema kweli sipendagi kutumika kabisa. Yaani nauheshimu mwili wangu kuliko, bora niambiwe naringa ila acha nikae hata miaka 2 bila sex ila nikija kuwa na mtu, ni wa uhakika. Wasichana wadogo wanavyotumika, wanazeeka kabla ya umri nawaonea huruma sana. Life is Good...
ππUnakuta hamna hata wa kukuuliza dada mambo vipiππnamba E ila nyonyo tiyari liko tumboni! Wanawake mkigawa ovyo ovyo miaka mitano 5 mingi!
Sisi always hatuishiwi ubora! Ukichoka tunaagiza gari mpya! Kazi inabaki kwako.
haha as long as wewe ni- ke- hutakosa kabisa wa kukusemesha.ππUnakuta hamna hata wa kukuuliza dada mambo vipiππ
Mbantu Mzuri sanaaaaaa!!mi nilikuwa nadhania chini tu mnywani!
Jana akanipiga suprise ya fua shingo lips mpaka nywele.
toto liko vizuri Sana.
Kabisa na mtu ukijua hili, unajituliza laah na haya magonjwa ndiyo kabisa. Kuna vitoto vishachoka vinatandikwa right and left. Tujipende na kutulia.namba E ila nyonyo tiyari liko tumboni! Wanawake mkigawa ovyo ovyo miaka mitano 5 mingi!
mnakongoroka kiasi kwamba hata kitumbua chako ukikidondusha sisi tunaruka Kama hatukioni
Sisi always hatuishiwi ubora! Ukichoka tunaagiza gari mpya! Kazi inabaki kwako.
πππππππππππππππIla kusema kweli sipendagi kutumika kabisa. Yaani nauheshimu mwili wangu kuliko, bora niambiwe naringa ila acha nikae hata miaka 2 bila sex ila nikija kuwa na mtu, ni wa uhakika. Wasichana wadogo wanavyotumika, wanazeeka kabla ya umri nawaonea huruma sana. Life is Good...
Wewe katoto ni kachizi unajua ππππππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ» vile vitoto namba E bana. Sisi mashangazi tumefika hapa tumekwepa mengi sana dear. Usichana tuliutumia vizuri.πππππππππππππππ
Ukisikia
Yallaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ujue limenipataaaaaaπ€£!!
Ukweni mchungu!!
fanya fanya japo nimuone huyu mtoto mnywani nisafishe nyota!Mbantu Mzuri sanaaaaaa!!
π€£π€£π€£Ila wewπππππππππππππππ
Ukisikia
Yallaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ujue limenipataaaaaaπ€£!!
Ukweni mchungu!!
Yani huyu akilizake anazijua mwenyew πππWewe katoto ni kachizi unajua ππππππ»ππ»ππ»ππ»ππ»ππ» vile vitoto namba E bana. Sisi mashangazi tumefika hapa tumekwepa mengi sana dear. Usichana tuliutumia vizuri.