Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,224
Basi acha kazi.
Tatizo mshahara mdunchu mno
Tatizo mshahara mdunchu mno
Uliniahidi upenuni shee,kausha shee hapa upenuni ujue

Haya
Hizo hapoo jamani auntie
Metamani nikuwe hiyo skirt akii![]()
Later will talk bout that dearAwww
41 my![]()

We mbona hunilindi?Noma shee kausha... Nilinde basi best
Hebu niambie umewaza nini mkwe!!!![]()
Mkwe hivi haukufunzwa weye? Hautakiwi kumbishia mkweo. We lete size 41 ndio anavaa.
Ahahaha eti dingi hana uwezo,, hilo neno njumu huwa nalisikia tu mtaani na ninadhani hata baadhi ya wakenya pia huwa wanalitumia.. ni sheng ya nai hiyo
Sasa ulikiwa unabisha nini?Hahah...imeisha hiyo mkwe...
Uombe tu kingine.
Hapa mkwe ninaye
Hahaha...this's one is dope...nigga yo got some jokes!!!
Kuna hiyo moja huwa inasema, ukiwa mtu mfupi ati usiseme ulipambana juu na chini, sema tu ulipambana chini kwa chini...


Danh aiseh.. Mkuu umenichekesha balaa