





Nawakumbusha tu wanaume wafupi jamani marufuku kutembea usiku wizi wa watoto umeanza
NdukiiiiiiiiView attachment 1269093
Heaven Sent njoo uone haibaView attachment 1269065
Hivi ni kwamba mimi ndio sioni vizuri auMama nipunguzie "hipusi"



Hivi ni kwamba mimi ndio sioni vizuri au![]()
mmhh mie namjua Maradona mchezaji soka mstaafu tu
Nawakumbusha tu wanaume wafupi jamani marufuku kutembea usiku wizi wa watoto umeanza
Anavaa namba 41.Halafu mesahau kidogo # yako, is it 37 or 38?
Miss you a lotIngine I miss you!
, nitakuja kule unaishi laterKweli zimebanana![]()
Hili jina lako linanitia majaribuni mimi!!!
Pole Kwa majaribu ndio ukubwa.HahahahahahHahahahahah hahaha mm nkajua labda inaakisi Noah yako,au labda ulipata mgao kwenye zile Noah tuliagiziwa
Nnaowa hakiiiiiMashindano ya sox ,biashara ya sox anayehitaj anicheki hahaha ,si kila siku viatu tuuuView attachment 1268958
hahaha: nimesahauAsante sana kaka yangu yaani leo umeongea bonge moja la fact maana nimegundua JF watu wengi wanapima hoja za watu kulingana na umri wao,, usishangae ndiyo maana wengine tunasingizia tuna miaka 40 ili tu na sisi tusikilizwe hoja zetu maana daah..