Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ahahaha eti dingi hana uwezo,, hilo neno njumu huwa nalisikia tu mtaani na ninadhani hata baadhi ya wakenya pia huwa wanalitumia.. ni sheng ya nai hiyo
wakati huo kulikuwa na viatu vikiitwa DH a.k.a Dingi Hana uwezo na vingine vilikuwa vyaitwa njumu za Maradona...

Sasa hiyo neno umetaja ndio imenisafirisha back in time hadi wakati huo...
 
IMG_20191122_083435_5.jpg

IMG_20191122_084732_6.jpg

Leo mambo ya skuli zaidi.
 
Back
Top Bottom