Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,487
Nimekumiss mimi,, karibu tena sana jamani..
Mekuja kukula weekend mdogo wangu mzuri mzuri
Mekuja kukula weekend mdogo wangu mzuri mzuri
NikeFreeTrainer 5.0
#TheShoeTrendChallenge keeps rolling
View attachment 1269052
Sakayo where you atmzuri mzuri
Karma usije sema hukuwepo
adorabella wapi tapata dafu kama lile la siku ileee
Asante sana kaka yangu yaani leo umeongea bonge moja la fact maana nimegundua JF watu wengi wanapima hoja za watu kulingana na umri wao,, usishangae ndiyo maana wengine tunasingizia tuna miaka 40 ili tu na sisi tusikilizwe hoja zetu maana daah..
Nipo kakake,, naona njumu ziko dope..
Ignore em, live yo life...

mmhh mie namjua Maradona mchezaji soka mstaafu tu
Unazijua DH au Maradona?
kwa hisani ya mabeberu wa usa river...


Ndukiiiiiiii
Ingine I miss you!Always there with you...
Sema kitu nyingine
Ndo niko hapo mpaka week iisheeHii sehemu naijua
Kweli zimebananaJamani jamanii auntie!
Nipooo mimi jamani, sema mambo zimebebana saana

Auntie kwani unaona kweli ninachoona mimi
Auntie nigawie hips mimiii jamani







Ndo niko hapo mpaka week iishee
Hili jina lako linanitia majaribuni mimi!!!Vidole vinafaa sana![]()
Kazi imekushinda eeh?nenda kuleeeee juu