Kichaa Msafi
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 1,090
- 2,141
karibuNakujaaaa
karibuNakujaaaa
Nishakuwa mtoto tena😀😀Yaani bado hatujamalizana na swali langu unataka tuhamie kwenye swali lako hivi ninyi watoto wa siku hizi mmefunzwa adabu ya wapi eti??

Nishakuwa mtoto tena
Mbona nilishakujibu.
Unajuaje kama mimi under 30?Mwanaume yeyote under 30 ni mtoto![]()
Leo nina bahati ilioje. Nywele 👏😋😋😋
Halafu wewe kwenye misosi uko vizuri😛
Unajuaje kama mimi under 30?
(Halafu rudisha avatar ya moana)
Juice ya tende iyo, utakua mzuri sana wewe kwa hiyo rangi adimu.

hivi haujawahi kufuma picha yangu hata moja humu kumbe??
Leo nina bahati ilioje. Nywele![]()
Mkuu hiyo flyover ya sgr au?at site for inspectionView attachment 1268756
Nimewahi hii mara ya tatu nafikiri.hivi haujawahi kufuma picha yangu hata moja humu kumbe??



sanaaaaa,, starehe yangu ya kwanza hapa duniani ni KULA tena vitu vizuri siyo kila kitu..
Halafu wewe kwenye misosi uko vizuri![]()
Sasa mbona umefuta bila mimi kuona bwana

NakaziaMwanaume yeyote under 30 ni mtoto![]()





Juice ya tende iyo, utakua mzuri sana wewe kwa hiyo rangi adimu.
hahaha mdogo angu karmaMwanaume yeyote under 30 ni mtoto![]()
Nimewahi hii mara ya tatu nafikiri.