Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Mtoto kumbe mtamu tu.
Sambusa toto 2![]()
Miss yu more! Leo Nimekja kuwasalimia mtaa huu 🤩Mekumiss rfk yang
Uko poa kipenzBabe akee...![]()
Nikiangalia hako ka shingo...nakufwaaa noah
Waoooh karibu sanaa hapa bwana fulu burudaniiiMiss yu more! Leo Nimekja kuwasalimia mtaa huu 🤩
Kama vp honga Noah yako hahahaNikiangalia hako ka shingo...nakufwaaa noah
Huu ndo ule wanja wa "sina mume'?Good nyt!!View attachment 1268563
Niko poa mimi jamani mpenzi, vipi wewe eti jamaniUko poa kipenz
Naona kumezidi kunoga watu hawahami 🤣🤣🤣Waoooh karibu sanaa hapa bwana fulu burudaniii
Niko poa mimi jamani mpenzi, vipi wewe eti jamani
Nina mume upoje😁😁😁Huu ndo ule wanja wa "sina mume'?
Naona kumezidi kunoga watu hawahami 🤣🤣🤣
Uwiiiii jaman umeiiba saa ngap uwiiiii
Nimefungua tu Jf naona title ya uzi na hii picha imedisplay kama icon ndio ikanishawishi niufungue uzi mzima.. Yani kuna mtu ukimuangalia afu ukamuangalia na demu wako basi unaishia kuimba "Tenda miujiza"hahaha tatizo siku hizi watu wenye miaka mingi duniani ndio wanaongoza kwa kuongea shudu.( nafikiri ukubwa wa mtu uwe unapimwa kwa hekima na busara zake.au nimeongopa kaka??
leo nitazurura humuRudi nyumbani kumenoga