Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,001
- 72,284
Nilisoma Facebook hata sikumbuki ni page gani
Nikucheka.
Safari hii anajitahidi kutabasamuView attachment 2546703
Huwa anatabasam kwa nadra ana watoto wangapi?
Nilisoma Facebook hata sikumbuki ni page gani
Nikucheka.
Safari hii anajitahidi kutabasamuView attachment 2546703
Bado ipo nafikir kwenye saa sita ndo itaisha Kosa moja subir kesho😀Mi nishaingia kitandani bado haijaiisha nilikuwa nasubiri kosa moja nadhan nitaangalia kesho marudio
Bado ipo nafikir kwenye saa sita ndo itaisha Kosa moja subir kesho😀
Niacheni nijivune ,huu ni wakat wangu
Achukiae anune, Hii ni neema kwangu
Sinashida ya mwingine,simwachi mpenzwangu
Sinashida ya mwingine,simwachi mpenzwangu✨✨✨😍
NilichekaNishaona comments za Fbmwichacho na yemen wapi na wapi





Nilicheka balaa😀😀silali Hadi aingie 😂😂Uliona alivyoingia Hadija
“Mwanamke jeuri muibie mumewee “
Limama linajitupaga na ule mwili wakeUliona alivyoingia Hadija
“Mwanamke jeuri muibie mumewee “




Nilicheka
Yaani fb kuna vituko.
Kuna habari ya fei toto
Wanasema bado ni Yanga
Sasa comments za watu, ilicheka nikataka kuzimiw
Bado za Zumaridi
Yaani tz ukifa Kwa stress umejitakia
View attachment 2546709View attachment 2546711
Wanafurahisha sanaLimama linajitupaga na ule mwili wake
Ana amsha amsha huyo
Nyimbo zao sijui sometimes wanasemana
Nilicheka balaa😀😀silali Hadi aingie 😂😂
Ndio sahiz Leyla anamalizia Khadija kopaWanaingia kwa zamu ee?
Ndio sahiz Leyla anamalizia Khadija kopa
"Kwa Hilo hujanikomoa mambo yangu yananiendea nimepata mwingine natanua
Kwa Hilo hujanikomoa na rohoyangu imepoa mapenz moto najilia "✨✨
😂😂😂Mim hawa nawapenda ila wakija huwa siendi,mim nipeleke kule kwa Dj aly b unacheza kesho unaamka unaumwa 😂😂😂😂
Kesi imeisha😂😂😂
Ndiyo.Wanaingia kwa zamu ee?