Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,001
- 72,284
Naijua hiyoooooo kwa mama j
Wacha wee Aunt Junia 😂"Kwa Hilo hujanikomoa mambo yangu yananiendea nimepata mwingine natanua
Kwa Hilo hujanikomoa na rohoyangu imepoa mapenz moto najilia "✨✨
Hiyo collabo na naisubirNdiyo.
Wana raundi tatu
Hii ya kwanza,
Bado mbili.
Halafu ya nne wanaingia wote,wanaimba nyimbo 3 pamoja,Kila wimbo kutoka kwa kila mmoja wao.
Yaani wanafanya collabo.
Hivi bi hawa mbona simuoni yule mweusii unamkumbuka???Ndiyo.
Wana raundi tatu
Hii ya kwanza,
Bado mbili.
Halafu ya nne wanaingia wote,wanaimba nyimbo 3 pamoja,Kila wimbo kutoka kwa kila mmoja wao.
Yaani wanafanya collabo.
Humuon alivonunaKesi imeisha![]()

😂😂😂Nimeinuka hapa nacheza mama anacheka Hana mbavu😂😂😂Wacha wee Aunt Junia 😂
Ndo maana akeNaijua hiyoooooo kwa mama j

Hapo ushamkojoza tayari 😂😂Ndo maana ake![]()
Hata hatujafanya,bado KanunaHapo ushamkojoza tayari![]()

Huyu alipotelea wapiNdiyo.
Wana raundi tatu
Hii ya kwanza,
Bado mbili.
Halafu ya nne wanaingia wote,wanaimba nyimbo 3 pamoja,Kila wimbo kutoka kwa kila mmoja wao.
Yaani wanafanya collabo.
Hata hatujafanya,bado Kanuna![]()
Umetuma picha sasa nimekumbukaHuyu alipotelea wapi
🤣😂😂😂Nimeinuka hapa nacheza mama anacheka Hana mbavu😂😂😂
Umetuma picha sasa nimekumbuka
Sijui hata aliendaga wapi,
Au ndio ameokoka anaimba qaswida
Sana 😍🤣
Sema wimbo mzuri huo
Humuon alivonuna![]()
Huwa wanajishaua.Hiyo collabo na naisubir
Unahakimisha umemtwanga haswaaHehehehe asikukute huko 🤣🤣
Kipigo kitarudi Kwako
Hata sijuiWanafurahisha sana
Hivi Hadija mtoto kabakiza zuchu tu?
Sabaha Yuko vizuri mm natamani aimbe depetupu au uwazi nazipenda sanaHuwa wanajishaua.
Unakuta anajidai haujui wimbo wa mwenzie..
Au anauliza hapa naimbaje..
Yaani Hawa wamama bana,wao kwa wao nadhani Kuna kawivu.
Nampendaga Sabah ananyoosha hatari
Huwa anapanda na simu,anasoma.
Wengine na karatasi..
Mwenye wimbo ananyoosha bila madesa.
Last time wa Leyla waaliimba ule wa maneno ya mkosaji
Kila mtu verse mojamoja
Aisee ulibamba.
Ngoma Kali sana hii,huwa naipenda.