Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Huyu ndyo shangazi sasa 😋😋😋 enzi za ujana anaonekana alikuwa pisi kali sana

Kumbe sisi sio mishangazi mpaka t ufike age hii
 

Attachments

  • AFEA4F1B-BAAB-4A9C-A561-54C7A8C23EFC.jpeg
    AFEA4F1B-BAAB-4A9C-A561-54C7A8C23EFC.jpeg
    683.4 KB · Views: 3
Mama mzuri huyu.
Niliona interview yake anasema yeye si mzenji.
Ni m bara wa Moro,baba Ake myemen


Mm nampenda,hana hata mashauzi na mbwembwe nyingi
Sema huwaga anakuwa siriazi sana,hacheki akiwa anaimba.

Ila kwa sauti kawafunika wote huyu mama,
Sauti yake haikwami kabisa..round zote mama anazungusha kwa sauti yake Ile Ile.


Kopa mbwembwe nyingi
Ikifika round ya tatu chalii
Sauti inakauka

Yes mpole mtaratibu yupo serious sipati picha alivyokuwa binti,mi nilikuwa nahisi tu mwarabu halaf mzenji
 
Yes mpole mtaratibu yupo serious sipati picha alivyokuwa binti,mi nilikuwa nahisi tu mwarabu halaf mzenji
Ana sura ya kazi
Awe anatabasamu kiasi.
Juzi kati wamemfanyia interview ndio akasema.
Watu wa FB sasa,wanasema yote haya kayaleta afande wa connection 🤣🤣🤣eti sasahivi kila mtu anakataa kuwa si mzenji.

Niliona zile events 2 mwanza na Dar, fundi sana huyu Mama.
Kwa sauti sijaona anayemfikia, basi tu wengine umaarufu unawabeba.
Mke wa mzee Yusuf huwaga nampends pia anavyotabasamu
Ila sura yake mmh, ngozi yake sijui ipoje
Ina mabonde.

Kopa mbwembwe nyingi, anawahi kukata pumzi.
 
Ana sura ya kazi
Awe anatabasamu kiasi.
Juzi kati wamemfanyia interview ndio akasema.
Watu wa FB sasa,wanasema yote haya kayaleta afande wa connection 🤣🤣🤣eti sasahivi kila mtu anakataa kuwa si mzenji.

Niliona zile events 2 mwanza na Dar, fundi sana huyu Mama.
Kwa sauti sijaona anayemfikia, basi tu wengine umaarufu unawabeba.
Mke wa mzee Yusuf huwaga nampends pia anavyotabasamu
Ila sura yake mmh, ngozi yake sijui ipoje
Ina mabonde.

Kopa mbwembwe nyingi, anawahi kukata pumzi.

Ahhaha afande kafanya watu wanakana au sio hadija kopa anapenda kiki huyu mama itakuwa pia kashika dini sana nahisi
 

Attachments

  • 9AEC9C7C-920F-447B-8041-EAA143C4E231.png
    9AEC9C7C-920F-447B-8041-EAA143C4E231.png
    725.7 KB · Views: 3
Ahhaha afande kafanya watu wanakana au sio hadija kopa anapenda kiki huyu mama itakuwa pia kashika dini sana nahisi
Mstaarabu
Mama ametulia

Kopa yuko bize na vibwagizo vya mtoto wake😂😂😂
 
Eee 😂😂
Kuna comment huyu mama alivyosema baba yake myemen
Mtu kaandika myemen wa wapi anaitwa mchachu🤣🤣🤣🤣
.
Kwakweli hawa wawili walichomzidi huyu mama ni umaarufu tu
Ila sauti na muonekano amewapita mbali sana.
 
Kuna comment huyu mama alivyosema baba yake myemen
Mtu kaandika myemen wa wapi anaitwa mchachu🤣🤣🤣🤣
.
Kwakweli hawa wawili walichomzidi huyu mama ni umaarufu tu
Ila sauti na muonekano amewapita mbali sana.

Jamani si uniwekee link nikachekee
Ina maana anaitwa Sabah Salum mchachu 😂😂😂
 
Back
Top Bottom