Sijajua madam Ndiomana nilikwambia hizi nizofumua zimekaa kichwani 3 months afu sijaweka dawa so unishauri nisuke zipi!Unatka nywele za aina gani kipenz
Mwanzo ulisuka nn?Sijajua madam Ndiomana nilikwambia hizi nizofumua zimekaa kichwani 3 months afu sijaweka dawa so unishauri nisuke zipi!
Curly pop kama sijakoseaMwanzo ulisuka nn?
Haha akomee 🤣🤣🤣🤣🤣 single maza ni wengi aseee looohSema tu tunajua kujofariji,
Nina aunt yupo na 32yrs ana kazi nzuri nyumba nzuri na mtoto pia anae, kipindi yupo na 28 alisema hataki kusikia kuhusu ndoa
Now ni muumin wa kawe kusaka ndoa,
Hasira tu sijui shida nini![]()
hahahaha,sio wote wanatakiwa kubarikiwa🤔 Mbona mi hujawahi niambia nibarikiwe?
Ndiyo kazi ya zabibu kukulegeza mifupa na kufanya mishipa ya macho ilegee! 😍 Wow! Na ukilegea hivyo mi nazama chumvini kulamba chumvi, nikimaliza nakugeuza geuza kama samaki vile nimwendo wa kujisevia. Tena ulivyo kipotabo easy to carry.Nimejaribu wine , nimeona siwezi .nakosa nguvu na kutaka kulala Poker
mpotezee usimpe sifa wala airtimeWewe mtu wa kuitwa SPACE CADET umetumwa na shetani gani mbona una wivu wa kisokorokwinyo, yaani mtu aki smile wewe unagawa dislike tu mbona unachefua watu.
hehehe wewe poker una balaa . Mie sie portabo bhana japo nimepungua kidogoNdiyo kazi ya zabibu kukulegeza mifupa na kufanya mishipa ya macho ilegee!
📌📌📌📌📌mpotezee usimpe sifa wala airtime
mambo📌📌📌📌📌
Fresh mjedaa za miaka!!mambo
Another playlist miss dj
Mbona hupokei
salama kbs,ticha mremboFresh mjedaa za miaka!!
gasho uyo.Wewe mtu wa kuitwa SPACE CADET umetumwa na shetani gani mbona una wivu wa kisokorokwinyo, yaani mtu aki smile wewe unagawa dislike tu mbona unachefua watu.
Mbona hupokei
Video call
Nitabadili mawazo
Shauri yako
Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app

sina bando