AlexProsper
JF-Expert Member
- Jul 1, 2022
- 3,408
- 6,273
Good mamayake yupoWakiume
Good mamayake yupoWakiume
Hamna mm namanisha michongo ya businessNyie vijana mkisema connection mnaweza mkawa mnamaanisha zile connection zenu zile nyingine![]()
Yah yupoGood mamayake yupo
Apo good sana kila kheli kwenye malezi ya mtoto wenu mkuuYah yupo






Nami nilikuwa natania Mkuu 🤗Hamna mm namanisha michongo ya business
Shukrani kakaApo good sana kila kheli kwenye malezi ya mtoto wenu mkuu![]()
thanks sawa ngoja takucheki mkuuNami nilikuwa natania Mkuu
Tunaweza kuwasiliana kuyajenga




Naona unatuhamasisha nasisi Wazee kuanza kuwatafuta Watoto wa Uzeeni sio🤪Shukrani kaka
Ndio mkuu ila watoto wa uzeeni wanadeka sanaNaona unatuhamasisha nasisi Wazee kuanza kuwatafuta Watoto wa Uzeeni sio🤪
Kwetu wazee itakuwa ni safi kupata watu wa kucheza nao, maana kwa umri huu wa uzee tunakuwa wapweke sana nyumbaniNdio mkuu ila watoto wa uzeeni wanadeka sana
Mtafute sasa kabla ya mwaka kwishaKwetu wazee itakuwa ni safi kupata watu wa kucheza nao, maana kwa umri huu wa uzee tunakuwa wapweke sana nyumbani


Sanitation
Cheers mkuu🥂Sanitation View attachment 2536770
Hii kitu inaondoa hangover chap😊
Ntakutumia ukimaliza hiyo chupa nyingine ya 🥃 🙂Hii kitu inaondoa hangover chap😊
Ahaa hii inaisha after 3hrs andaa kabisa huo msosi😊Ntakutumia ukimaliza hiyo chupa nyingine ya 🥃 🙂