DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,900
Baby unafagiaaaaa. Yaani umeacha mifupa tu
Baby unafagiaaaaa. Yaani umeacha mifupa tu



tena hapo imebidi nibakishe ya kupigia picha ila ningeweza kutafuna yote maana kuku za KFC zinatafunika hadi mifupa ukiwa mlafi kama mimi unaweza jikuta haujaacha kitu


Weee mbaya mifupa ndiyo imebaki hivyo![]()



sasa huto tumifupa hao mbwa watashiba kweli?? Mbona kama ndiyo nitawatia hasira tu kwa kuwatamanisha na kuwaongezea njaa??
Mifupa weka kwenye kinailon weka kwa pochi..pelekea mbwa. Hao mabeberu usiwaachie kitu![]()



pita pita na meza nyingine


kikubwa mabeberu yasikusahau kiurahis
sasa huto tumifupa hao mbwa watashiba kweli?? Mbona kama ndiyo nitawatia hasira tu kwa kuwatamanisha na kuwaongezea njaa??





eti nafagia,, baby kwani haujui vyenye mkeo napenda kufagia mimi?? Yaani nahakikisha naacha sehemu saaafi kabisa
Baby unafagiaaaaa. Yaani umeacha mifupa tu



daah sema tatizo wale wahudumu wako fasta kitendo cha kunyanyuka kuenda kunawa tu unakuta kashakutolea vyombo yuko anakung'uta mabaki kwa trash can


kwanza nilivyomaliza hiyo si nikaagiza nyingine take away ili nimpelekee dada nyumbani,, sasa ungeniona nilivyokuwa nahangaika kuvitumbukiza kwa pochi ungecheka yaani wale wahudumu nahisi walikuwa wanachekea ndani kwa ndani tu..
pita pita na meza nyingine
kikubwa mabeberu yasikusahau kiurahis
Ya kitanzania mdogo wangu najuanupo mimani fabya muamala chap chap.
Yupiii huyo mkuu KarmaAisee kuna mtu umefanana naye ile mbaya sijui kaka yako
Next point tukutane Pizza hut. Ila usifagie sana sasaeti nafagia,, baby kwani haujui vyenye mkeo napenda kufagia mimi?? Yaani nahakikisha naacha sehemu saaafi kabisa
Yupiii huyo mkuu Karma
Sawasawa mkuuKaka fulani hivi au labda kwa vile na yeye anapenda kufuga moustache na kunyoa beards kama wewe hivyo hapo ndiyo maana naona mmefanana?? Jina lake la kwanza linaanzia na K na la ubini linaanzia na M!!



aww pizza,, usijali dear siwezi kufagia mbele za watu nitafunga ili nikafagie vizuri nyumbani..
Next point tukutane Pizza hut. Ila usifagie sana sasa
tena hapo imebidi nibakishe ya kupigia picha ila ningeweza kutafuna yote maana kuku za KFC zinatafunika hadi mifupa ukiwa mlafi kama mimi unaweza jikuta haujaacha kitu
![]()



huu sasa uchuro huu
Mbona naona mboga tu. Wali au ugali uko wapi?
Dooh!!! umenikumbusha nuggets za Chick-fil-A
Nane nane'View attachment 1268467