Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
We jamaa hebu zima simu ukalale.unaongea pointless aise.Wew huoni hapo hatari corona wizi unafikili wote hapo wamekuja kukimbia mfano simu uliyo pigia picha ingechukuliwa na usimjue alie chukua ungesemaje? Ungekimbia
Mwenyewe unaona umeongea point kishenzi😁😁
