Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 18,836
- 57,465
Asante Kujali Mjukuu, hata hivyo Babu yenu tayari umri umesogea 🤪🏃🏃Nilianza kukuonea huruma,
Asante Kujali Mjukuu, hata hivyo Babu yenu tayari umri umesogea 🤪🏃🏃Nilianza kukuonea huruma,
Weee mi matunda nishayazoeaa babuu hakuna diet wala daktareeee!!Hello Mjukuu 🥂
Unataka kufanya diet au umeagizwa na Daktari, manake Wabongo wengi hatuna utaratibu wa kula matunda hadi tuagizwe na Daktari 🏃🏃
😅🏃🏃🏃Chakula cha Saa 8 usiku chakula gani hiko babuuu😎! 🤔
Hebuu Selfika tuone kama kweli umekula chumvi nyingi au unatupiga kamba tu hapa babu yake Wigelekelo 😁😂!Asante Kujali Mjukuu, hata hivyo Babu yenu tayari umri umesogea 🤪🏃🏃
Marahaba mdogo wangushikamoo mkuu , habari ya leo
🤣 Rudiii hapaaa wee mzee mwisho udondoke tukupoteze bureee! 😎😅🏃🏃🏃
Story fupi fupi selfii kwasana mr vouuchaaaa!! Tupia macho manne baseeee!!Marahaba mdogo wangu
Uko poa?
Nimekumiss hadi naumwa
Hapa nipo kwenye dozi ya matunda, Daktari kasema eti kutokana na umri wangu wa miaka 83 natakiwa niwe nakula matunda na mboga za majani kwa wingi 🤪Weee mi matunda nishayazoeaa babuu hakuna diet wala daktareeee!!
Babu Kwahio hapo unaumwa uko kwenye dozi ya kula matunda kwawingi 🤔🤔🤔????
Umeifanyaje? 🤣🤣🤣🤣Shika mwenyewe mr vocha Shikamoo yako nimeidindiaaa!😂😂😂
Samalekoooooo ✋!
nipo poa kaka na wewe, miss you .. Hebu nione unavyoumwaMarahaba mdogo wangu
Uko poa?
Nimekumiss hadi naumwa
Laki mbili ndogo sana
Kuna jimama nililipiga style ya kipwagizo plus mguu kwenye neti yani kiuno kinabinuka kwa juu hivi kwa mbali unamuona shetani haki yule jimama alipandisha mashetan kesho yake kanipa laki 3 cash plus Shopping







Eendiwoooooooo anything for afyaaaa babuuu!!Hapa nipo kwenye dozi ya matunda, Daktari kasema eti kutokana na umri wangu wa miaka 83 natakiwa niwe nakula matunda na mboga za majani kwa wingi 🤪
Kumbe mjukuu wangu unazingatia afya, Kongole kwa Mkwe wangu (Mjeda) kukuhimiza 🤗
Fabrizo Romano.Ni nani huyo
Lazima akuache ukiwa umejiunga grid ya taifa![]()




grid ya taifaa ni must, sio should.Nimeigomeaaaaaaa🤣🤣🤣🤣Umeifanyaje? 🤣🤣🤣🤣
Sawa madam nimekumiss ujue
Tayari boss ladyNakaziaaaaaaaaaaaaa....kwako Mjep
Kwakweli ni dili kubwaa sanaa!Baadae nakuwekeaaa, afu ujiandae kulipiaaa,. Siku hizi nauza picha zangu, nshagundua n deal mjini.
picha 1 ni 10k.