Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Weee mi matunda nishayazoeaa babuu hakuna diet wala daktareeee!!
Babu Kwahio hapo unaumwa uko kwenye dozi ya kula matunda kwawingi 🤔🤔🤔????
Hapa nipo kwenye dozi ya matunda, Daktari kasema eti kutokana na umri wangu wa miaka 83 natakiwa niwe nakula matunda na mboga za majani kwa wingi 🤪

Kumbe mjukuu wangu unazingatia afya, Kongole kwa Mkwe wangu (Mjeda) kukuhimiza 🤗
 
Hapa nipo kwenye dozi ya matunda, Daktari kasema eti kutokana na umri wangu wa miaka 83 natakiwa niwe nakula matunda na mboga za majani kwa wingi 🤪

Kumbe mjukuu wangu unazingatia afya, Kongole kwa Mkwe wangu (Mjeda) kukuhimiza 🤗
Eendiwoooooooo anything for afyaaaa babuuu!!
Ni kweli kwa umri wako ni vema kuzingatia afya bila kusahau mazoezi babuuu!
Pongezi zimefikaaaa kasema usubirie tu like koti lako toka Italy 🤗!
 
Back
Top Bottom