Limama gani litoe lakimbili na wanacheza vikoba sikuhizi labda buku 2![]()
Wapi huko ? Unakuja Kibo kimya kimya eh
Lazima jiko liwake yaaniSina mood ya kula wala kupika
Ningekuwa mwenyewe ningejilaza tu,wasiokula kapile wanazingua![]()
Asipokuja je 😂Unaemfikiria![]()
Acha uvivuSina mood ya kula wala kupika
Ningekuwa mwenyewe ningejilaza tu,wasiokula kapile wanazingua![]()
Piga kazi kijana!View attachment 2508750
Work was so hard how about you [mention]Lenie [/mention] and [mention]Jack Palladino [/mention]
Kijana yupo vizuri😅Looking smart kijana😍
Pole na kazi
Jobless mie nilikua nabadili mapozi tu ya kulala kitandani na kwenye kochi.
Jack Palladino ngoja aje
Hahaa umemuona eehKijana yupo vizuri😅
Nimemuona ila kaweka sticker kubwaa😅Hahaa umemuona eeh
Acha tu tunachoka sanaPiga kazi kijana!
Mwachiluwi punguza sticker bana tuone kidukuNimemuona ila kaweka sticker kubwaa😅
Mgongo aujakuuma aseLooking smart kijana😍
Pole na kazi
Jobless mie nilikua nabadili mapozi tu ya kulala kitandani na kwenye kochi.
Jack Palladino ngoja aje
Mimi sio mnyoa viduku nanyoa kawaida sanaMwachiluwi punguza sticker bana tuone kiduku
Iko siku nitaitoaNimemuona ila kaweka sticker kubwaa😅
Unauma najikaza hivyo hivyo, asa sina cha kufanyaMgongo aujakuuma ase
Omba kule takukuru 😂Unauma najikaza hivyo hivyo, asa sina cha kufanya
Hamna hata kazi ya kupika chai hapo ofisini kwenu niwe busy na mie
Em nioneMimi sio mnyoa viduku nanyoa kawaida sana
Nimeishia la 3B, huko sitapata nafasiOmba kule takukuru 😂
Tutamfuata na gredaAsipokuja je![]()
