Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,493
Ni kamdudu eti??
Ka karma.
Ka karma.
Nimekuita piemuni umeshindwa kuja nimejitoa mhanga
Pole mpendwaUsiku huu kuna nyoka kidogo apite na mimi,bahati nzuri amepita pembeni yangu aisee,nisingekua na tochi ningemkanyaga
Hapa jukwaani nilikuwambie uje pm.Umeniita saa ngapi eti mbona sijaona pm yoyote kutoka kwako??
Mimi ni mvivu kusoma comments nikija kwenye uzi huu huwa napita comments nikiona picha na stop kutizama sijaona dear hata hivyo leo umefurahi.Ndiyo mbona nilikujibu,, nilikuuliza nikija pm utanitumia kweli picha au ndiyo utanipausha kama Atoto?? Ila haukujibu
Mimi ni mvivu kusoma comments nikija kwenye uzi huu huwa napita comments nikiona picha na stop kutizama sijaona dear hata hivyo leo umefurahi.
Mamii hata yako iko kwenye ablam yangu nimesevu.Yaani nimefurahi sanaaaaaaa natamani hata nikupe zawadi,, yaani hadi picha yako nimeisave na wewe ni mtu wa tatu kusave picha yako kwa gallery yangu tangu watu waanze kutuma picha zao kwa huu uzi..
Hao wawili wa mwanzo siwataji ni siri yangu ila of all the photos in here wewe ni wa tatu my sister,, nimesave picha za watu watatu tu kutoka kwa huu uzi (ukiachilia mbali wale walionitumia picha zao pm) lol..
Mamii hata yako iko kwenye ablam yangu nimesevu.
Ahsantee cheupePole mpendwa
Niiweke picha mpendwa 😁😁Mmhh siamini ila wacha tu nikubali kishingo upande
Ila usisahau kuwasha feniMakande na mabawa ya Bombadya afu nikalale zangu usiku mwema mungu awe pamoja nanyi.View attachment 1267869View attachment 1267870
Feni la nini tena wakati huku kijijini kwa wakikuyu full baridi au anamahanisha ushuzi wa makande.Ila usisahau kuwasha feni