Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,420
- 104,868
Nikiondoka utachungwa na nani....??Kaka jamani mie nikajua haupo![]()
Haya dada, endeleeni kucheza na watoto wenzako. Mimi ngoja nikae huku kwambaaaaali na wifi wako...teh
Nikiondoka utachungwa na nani....??Kaka jamani mie nikajua haupo![]()
Hapana nimeangalia hairstyle yako tuHuhu jina langu linaanzia na A ndio taja herufi inayofata . au umeangalia ID tu ukahisi ?
Hapana nimeangalia hairstyle yako tu
Nikiondoka utachungwa na nani....??
Haya dada, endeleeni kucheza na watoto wenzako. Mimi ngoja nikae huku kwambaaaaali na wifi wako...teh





Umenifananisha na nani ? taja herufi ya jina .
Dada, Mungu anakuona....teh
Kwa mbali wakati majicho yote yapo huku kuangalia bastolha za wadada. Nakusemea kwa wifi.









Hili jina lako mbona nalisoma ndivyo sivyo!! Silly me![]()
Na wewe huwa unajipaka maparachichi ?Ooh sawa
Na wewe huwa unajipaka maparachichi ?
Naomba uishie kuangalia tu, ila kumbuka huanzia kwenye kuangalia.Dada, Mungu anakuona....teh
Usinifanye kaka yako mchungaji niingie kwa majaribu ya humu ndani..![]()
Hilo cheko linamaanisha nawe umelisoma kama mimi
Jesus these are the people you died for




Ooh sio mm naanzia na herufi A
Usiku huu kuna nyoka kidogo apite na mimi,bahati nzuri amepita pembeni yangu aisee,nisingekua na tochi ningemkanyagaKama hamtaki kuamka nawawekea majoka yaje yawatishe ndotoniView attachment 1267166