Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mzoee huyoo, nshampa ukichaa wangu. Bas hapooooo
Huyu alikua kipangaaaaaaa class zimaaaaa!
He was my marking guideee kwa yale maswali korofiiiiii😂😂😂😂😂!
Kwenye graduuuuuui zawadi za masomo yotreeee alibeba yeyeee ni alikua anachukua zawadi na kurudi tenaaaa chukuaaa rudiii tenaaaaa hadi ilifikia sehemu wazazi wa wengine ilibidi wacheke tu dogo anavozungukaaaaa kubeba makombee ya zawadi na vyetiiii stahikii!👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
 
Huyu alikua kipangaaaaaaa class zimaaaaa!
He was my marking guideee kwa yale maswali korofiiiiii!
Kwenye graduuuuuui zawadi za masomo yotreeee alibeba yeyeee ni alikua anachukua zawadi na kurudi tenaaaa chukuaaa rudiii tenaaaaa hadi ilifikia sehemu wazazi wa wengine ilibidi wacheke tu dogo anavozungukaaaaa kubeba makombee ya zawadi na vyetiiii stahikii!
Jinsia gan? Dogoo amebutuaaa sanaaaaa, yaan amepangusaa poteeee. Na palee juu kuna mwngne kagonga ya 12.

Km wa kiumee anaenda Mzumbe, km wa kike anaenda Tabora girls.

Utanambia selection zikitokaaa.
 
Em kwani ngoja nikujeee huko tsup. Kukuchachuaaa,
Njooo unichambe trani yako kipenziiiiiii🥰🥰🥰🥰🥰😘😘i nipo Nafurahia matekeo mieeee! Ziro tulizotarajia zimekuja chachee mnoooooooo
😁😁😁😁😂😂😁 sio kwa wale watoto waliokua wanashinda Msituni nyieeeeee🙌🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣!! Siku wakavamiwa msituni na walimu tukakuta majikoo ya kupikia gongooo virobaa kondoms sufuria zinapikiwa hazisuguliwiii mieziiii🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😁😁😁😁😁 Mzazi anakwambia mbona mwanangu kila siku anakuja shule na kurudi jioni Huku shule hafikiii mieziiii na miezi au akifika akaitwa majinatu huyooo anaishia msituni hukooo hapo watoto washasajiliwa huwezi kuwafukuza no way itabidi wapewe saspaaa wakuje siku ya pepaaa🙌!!
Kmanina zao wale watrotrooo!!
 
Back
Top Bottom