Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,790
Huendi mbinguni😂malizia kuoga nitakwangua nitatuma
Bata la kishua Dubai kwa ninyi walamba asali
Nisome vizuri babaNaangalia bar???seriously??🫢
MweehTufanye tuoshe macho na picha yako basi na mimi nijifunze kutokea kwako mrembo.
Unaangalia bar?Nisome vizuri baba
NdiyoUnaangalia bar?
Unakula tu Bata Nkamu

Raha ya mpira uangalie kibanda umizaNdiyo
Raha ya mpira uangalie kibanda umiza

ntabadilisha location iwe kibanda umiza nipate hiyo ladhaUtatamani kuwa majiNatamani ningekuwa dolphinjaman
![]()
akili za nyege zilikuwa
Mkuu sio kweli kwamba airbus kuna engine problem?Baada ya Airbus zote tatu za ATC kukwama ughaibuni kwa kisingizio eti zina hitilafu, ratiba zimevurugika hasa kwa safari za nje. Ukikata tiketi ATC na ndege ikaondoka on time ni kushukuru sana.
Precision nao hizo ATR zao zimeanza kuzeeka. Hata ukizipanda you can tell. Ni muda mwafaka wa kuzipiga bei na kuleta mpya....
Ni kamzozo😄😄akili za nyege zilikuwa
Na wasivyo na aibu lazima kiwakeNi kamzozo😄😄
😄😄😄 hapo lazime wamjazie nzi .Na wasivyo na aibu lazima kiwake