Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_20230123-192225_1.jpg
 
Baada ya Airbus zote tatu za ATC kukwama ughaibuni kwa kisingizio eti zina hitilafu, ratiba zimevurugika hasa kwa safari za nje. Ukikata tiketi ATC na ndege ikaondoka on time ni kushukuru sana.

Precision nao hizo ATR zao zimeanza kuzeeka. Hata ukizipanda you can tell. Ni muda mwafaka wa kuzipiga bei na kuleta mpya....
Mkuu sio kweli kwamba airbus kuna engine problem?
 
Back
Top Bottom