Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
Umetupunja sana banaTinsley
Mie ni chizi wa kucheka cheka hovyoooo.
Mda wote meno yako nje, utadhan nafanya matangazo ya white dent.
View attachment 2489987
Punguza liemoji hilo
Umetupunja sana banaTinsley
Mie ni chizi wa kucheka cheka hovyoooo.
Mda wote meno yako nje, utadhan nafanya matangazo ya white dent.
View attachment 2489987
kuni ya moto wa shetani 🤣🤣🤣nimechekaaa sanaaa. Kuna mtu juzi ananambia wee utakuwa kuni huko motoni. Lol.
unaenda kufanyaga teeth whitening au ? Ni dawa tutanteeeee dear.
Wee eti eeeh, ngoja bas nipunguzee kidg.Umetupunja sana bana
Punguza liemoji hilo




Jaman nyiee watuuu,kuni ya moto wa shetani![]()












huwa nachekagaaa sanaaaNi dawaaa tyuuh dearunaenda kufanyaga teeth whitening au ? Ni dawa tu




Fanya hivyoWee eti eeeh, ngoja bas nipunguzee kidg.![]()
🤣🤣🤣 wewe na wadhambi wenzako.. mkifika pale ni pita kule mkawe kuni za shetani sipati picha..Jaman nyiee watuuu,
Nna dhambii pekee angu dunia hii,
huwa nachekagaaa sanaaa
Nakujaaa😋😋😋tulio na njaa mda kula sasaView attachment 2489994
weer kachume mchimcha kwanza 😒😒😒 na usinisemeshe 🥲🥲🥲.. hapo pembeni najua yupo Pakistan BoyNakujaaa😋😋😋
wewe na wadhambi wenzako.. mkifika pale ni pita kule mkawe kuni za shetani sipati picha..





kuna mtu anapenda kunitumia kile kipande cha Aggrey pale anaambiwa pita huku. 






Woow 😍😍😍😍😍😍 hapo na kamvinyo pembeni 🥂 National Anthemhaya Bantu Lady hongeraaaa...View attachment 2489993
na ukinikuta mie kilanja, nakusindikiza na fimbo ya moto kichwani 🤣🤣🤣kuna mtu anapenda kunitumia kile kipande cha Aggrey pale anaambiwa pita huku.
Yaan ananiboagaaaa,
Wimbo huo siutakiiii hataaa
na ukinikuta mie kilanja, nakusindikiza na fimbo ya moto kichwani![]()






hebu hukooo na hamnipatiiiiiii kamweee.