Selfika na JF: Snap it. Show it

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nacheka kama mzuri, umenikumbusha mtu ambaye hajamove on, mwaka sijui wa 10 naa sasa dah. Usiombee mtu wa hivyo maishani mwako.
Maana yeye akili yake, inamtuma ipo siku mtarudiana tu.
Halafu wewe hata wazo naye huna, hapo ndiyo utajuta kumjua 🤦‍♀️
 
Kuna mtu niliona alichukua vitu vyote vya ndani yaani vyote yule dada ilibidi aanze kulalalia kanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…