Selfika na JF: Snap it. Show it

Hapaaa mnadani?
 
Ewaaa karibu sana Same. Siku nyingine nitakupandisha milimani huko, sio lazima vacay uende Ibiza, hata ndani ya nchi kuna maeneo yanavutia sana. Siku ukija utakula ubwabwa kwa picha ya thamaki.
ahsante kaka Kweli kabisa vacay tuanze hapa hapa nyumbani kwanza before kwenda Maldives Kunavutia mnoo Upareni ukijani Sasa weeee...
Hapo ubwabwa na picha ya samaki
shikamoo wapare
Kuna milima kaaahh ...sijuii gari zinafikaje kule
 
Kuna mtu alikuja kunisabahi


Akadrive, kufika Same upepo sana akashindwa endelea. Ikabidi alalepo

Ni anapasifia hatari
Pazuri same,Kuna kaupepo amazing nimelala siku Moja ila mmeinjoi mnoo!!dogo Chuga nako Pako vzr Hali ya hewa ya hyo Mikoa Mimi nimeilewa ghafla nkatamani niwe nafanya kazi huko
Vyakula navyo viko reasonable at price mnoo
 
Pazuri same,Kuna kaupepo amazing nimelala siku Moja ila mmeinjoi mnoo!!dogo Chuga nako Pako vzr Hali ya hewa ya hyo Mikoa Mimi nimeilewa ghafla nkatamani niwe nafanya kazi huko
Vyakula navyo viko reasonable at price mnoo
Sahivi mbona hamna hali ya hewa nzuri
Jua linawaka sana
Ingawa sio kama Dom
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…