Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,214
- 29,383
Mbappe ana mambo mengi achana nae. 😀😀
Nipo msibani Lindi sister.
Mbappe ana mambo mengi achana nae. 😀😀
hahaha magari mawili huko ujue . Leo ni maombezi na ushauri eh .Pana umbali gani jamani Tinsley ni hapa zakiem we usijali utaoga huku huku kondoo wa bwana! Nataka nikutoe nuksi zote ulizotupiwa na Carrasco putin
Kwani ukichukua uber kutokea huko tegeta mpaka huku ni shs ngapi?hahaha magari mawili huko ujue . Leo ni maombezi na ushauri eh .
hahaha zakiem si mbali . Nipe masaa matatu nijiandae lolPana umbali gani jamani Tinsley ni hapa zakiem we usijali utaoga huku huku kondoo wa bwana! Nataka nikutoe nuksi zote ulizotupiwa na Carrasco putin
Banjukaaaa juuu, ooooh rukaa juuu.sumbai umemisika I know uko busy sana, siku moja moja pitia hapa...
Antonia cocastic Tinsley Lizzy kiduku mpapaso Kapachino Carrasco putin Shimba ya Buyenze mtu chake National Anthem nawapenda [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
I'ts weekend tunaweka shida chini, tunanyanyua mikono juu [emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee muache mume wanguu, akati namtulizaa now ana amani na furaha ya nafsi.Ila ndugu yetu Ntiluseswa alipotezwa mazima na cocastic sasa naona na boss Mjep anaelekea kupotezwa na huyu kungwi [emoji26]
Hatujamboooo brohhhzzz!!!Hamjambo wandugu
😂 Angalia msukuma wa watu asije akaacha na kazi huko tra simiyu maana umejua kumtuliza hata selfika haonekani tena.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee muache mume wanguu, akati namtulizaa now ana amani na furaha ya nafsi.
Mjep nakupendaaaa mume wangu [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
ni Bunju . Sijui kwa kweliKwani ukichukua uber kutokea huko tegeta mpaka huku ni shs ngapi?
Nakurushia shs 50k si itatosha nauli ya kuja kutoka bunju hadi mbagala? Namba ni ile ile au umebadilisha!sijui na unajua foleni ya kule .
Poleeeeeeh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tope kidogo kimesusa kutembea [emoji23]View attachment 2480652
Aonekane iwejee ili wamkwapueeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Angalia msukuma wa watu asije akaacha na kazi huko tra simiyu maana umejua kumtuliza hata selfika haonekani tena.
hahaha wewe unayo ipi ... Karibu kesho kanisa naposali pia mtumishiNakurushia shs 50k si itatosha nauli ya kuja kutoka bunju hadi mbagala? Namba ni ile ile au umebadilisha!