kiduku mpapaso
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 1,987
- 4,872
Nipe cha paja basiNawasindikiza ndugzangu wananzibar sema January ngumu kilamtu aje na soda yakeView attachment 2478439View attachment 2478440
Nipe cha paja basiNawasindikiza ndugzangu wananzibar sema January ngumu kilamtu aje na soda yakeView attachment 2478439View attachment 2478440
Cha mgeni kiko wapi
Oya Sophy haya ndo mambo yako kumbe 😀😀😀Nawasindikiza ndugzangu wananzibar sema January ngumu kilamtu aje na soda yakeView attachment 2478439View attachment 2478440
chombo ya ERoni anakula mapishi mazuri na anakula mpishi mzuriOya Sophy haya ndo mambo yako kumbe 😀😀😀
Chawa wa Mama 🤣🤣🤣huna baya mwenyewe mtoto mzuri.. macho ya kipekee ngozi ya rangi 😍😍😍 uliumbwa ukaumbika
Aisee sina bahati
Tusitiane hamuNawasindikiza ndugzangu wananzibar sema January ngumu kilamtu aje na soda yakeView attachment 2478439View attachment 2478440

😋😋😋😋😋😋😋😋Mamaa madaptasaptaa😋😋😋Nawasindikiza ndugzangu wananzibar sema January ngumu kilamtu aje na soda yakeView attachment 2478439View attachment 2478440
tabia ya chawa kunyonya damu.. asee nasogea hapo mlimani city wapi hiyo.. tukale mbuzi kitambaa cheupeChawa wa Mama 🤣🤣🤣
mpishi ndio baraaa mzee.. unaweza honga rais wa tanzaniaAisee amenikosha sana, huo mzigo ndio my fave diko manzee😀😀😀
Vipi masta hajashusha kitu kulee mjomba???tabia ya chawa kunyonya damu.. asee nasogea hapo mlimani city wapi hiyo.. tukale mbuzi kitambaa cheupe
Nimelala kizembe leo ndio nimeshtuka 🤣🤣🤣! Acha nipige ki shower nidondoke maeneo hapo.tabia ya chawa kunyonya damu.. asee nasogea hapo mlimani city wapi hiyo.. tukale mbuzi kitambaa cheupe
Master anakamua Mayaaaa kwanzaaa.. akimalizana nae naona atatupia tuuVipi masta hajashusha kitu kulee mjomba???
Mpishi kuliwa mkataba yani 😀 mtt kigorimpishi ndio baraaa mzee.. unaweza honga rais wa tanzania
Arosto kareeeee mjombaa! Ulipitia zile nyingine za " walichomfanyia yule mchawi na aliyofukuzwa na dingi hom baada ya kufeli six????Master anakamua Mayaaaa kwanzaaa.. akimalizana nae naona atatupia tuu
Aunt yangu mzuri mzuriMjep aunt mambo