Selfika na JF: Snap it. Show it

labda kwako kipenzi mie doctors hapana aise nawaona tu walivyo. Hao ma injia hapanaaa . Endelea kutoka nao
Khakhakhaaaa.....
Una misimamo yako konki sana unanikoshajeeeeee!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ŽπŸ˜ŽπŸ˜Ž!
Umeambiwa injiniazz madokta wamenyooka ndio ufanye mpango hivoooo Mimi wakulimaa wangu wananitosha kwakweli 🀣!
 
Huendi kokote, ungeuliza kwanza kabla ya kuingia kwa Wakurya. Wigelekelo hebu muelezee vizuri huyu ndugu yako.
Mbona anawajua wakurya

Anatokea Ikunguilipu karibu na Nyangokolwa

Pale Sapiwi karibu na Lamadi uelekeo Bunda

Halafu unaenda kwenu Kanda maalumu kupitia Bitaraguru na Makutano

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…